Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Ndio huo udhaifu nilisema autumie maana mwanamke angepigwa kidogo du anakuwa mnyonge na kuanza kulalamika hapo ndio kidume kinaibuka na maujuzi ya kubembeleza mwisho kitu na boxKweli Gaga,
Ila kwanza lazima ujue kwamba wanawake nao wana udhaifu wao. Nadhani huyo brothermen labda hakuwa na uzoefu wa kutosha kulijua hilo.
Halafu uweze kufanya maamuzi ya haraka sana. Kumbu huyo jamaa alikuwa na sekunde chache sana, ama kuamua kutimua mbio, kuendelea hivyo hivyo au kumgeuzia kibao dada ili siku nyingine asicheze na bull's horns!!