Niliona na kusikia tbc eti vyombo vya kupikia chakula ni vidogo hivyo kulazimika kupika kwa zamu kwa chombo. Watu wanashinda na njaa.Hivi jamani hata magudulia ya kupikia tumekosa? Aibu aibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.