Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
Ndugu zangu nimekaa sana nikawaza yote haya natafakari tu eti waasi kama wa libya na kwingine wanatengenezwa au wanatokeaje? au ni watu wa aina gani au ni kina nani?na je hili huwa ni jambo la ghafula au kukurupuka? na je ni muda gani unahitajika kuwapata? na je Serikali ya Tanzania inaweza kuwa inaandaa waasi bila kujua? embu nisaidieni mawazo ya hawa wanatokeaje?