Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
Tippu Tip alikuwa na damu ya kiafrika lakini alikuwa ni mfanyabiashara mkubwa wa watumwa.unataka kutuambia unyanyasaji walioufanya hao waarabu ni porojo?
Kwa kweli historia potofu imekuwa silaha madhubuti ya kuenea kwa ukristo tuseme hapa Tanzania tulipo.Tip Tip alikuwa mfanyabiashara wa kawaida tu.na alianza na umachinga akiwa na miaka 12.Alikuwa akiwalipa wafanyakazi wake waliokuwa wakimbebea mizigo yake kwa staili ya siku hizo kulingana na kilomita walizombebea.
Wamishionari walipokuja na kumkuta tajiri aliyeendelea na uislamu wake wakamfanyia njama na kumzushia mambo mengi na michoro kama hiyo ya watumwa waliofungwa minyororo.Kabla kufa kwake aliandika historia yake kwa mkono wake na kulalamikia sana akina Jameson waliomzushia maovu pamoja na misaada yote aliyowapa.Ukitaka mjadala zaidi kuhusu hili tutaendelea.....
Huyu Buchanan simjui kwa sura na sura aliyotumia pale si yake.Naweza kusema hivyo kwa kuangalia maelezo na mada zake.Yeye lazima ni kijana mdogo ambaye hata miaka kama yangu hajafika.Kwa hivi chuki zisizokuwa na mashiko anazopewa huenda kanisani kwake hajakuwa na muda wa kuzizingatia na kuzifanyia udadisi angalia kidogo. ,
huna jipya hilo huwezi kulisafisha, na halihitaji uchunguzi sana maana liko wazi, nenda oman ukaoneshwe majengo yaliyojengwa na waafrika kwa adhabu kali