Desteo
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 494
- 123
Salam alekum. Mwarabu kampa nini mswahili? Nafikiria historia kati ya mswahili na mwarabu. Ni historia mbaya. Mswahili alihasiwa na mwarabu kipindi hicho. Hakuna adhabu mbaya kama hii. Leo tunakumbatia lugha, imani na tamaduni zao. Hivi wanatuonaje hawa?