Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
palipotoke mauaji ya kamanda mwangosi,tume ya wahariri ilito mwongozo kwa vyombo vyote vya habari kususia habari za jeshi la polisi,lakini hawa TBC wapo bize kuwa uzisha sura polisi.
Je TBC,hamfuati miongozo ya wahariri wenzenu? Au na ninyi ndo walewale?
Je TBC,hamfuati miongozo ya wahariri wenzenu? Au na ninyi ndo walewale?