Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,933
- 22,092
Waandishi wa habari wa itv wamenusurika kifo baada ya gari lao kuangukiwa na wire wa umeme ktika barabara ya oceanroad.wakiongea kwa uwoga mwandishi mmoja aitwaye rehema anasema alikuwa katika pita pita kutafuta habari..waliokuwa nyuma yao wanasema wakati wakikaribia wakaona nguzo inaanguka polepole kulekea kwenye gari la waandishi ndipo mmoja wetu akawahi kuwajulisha wakakimbia so ilipodondoka walikuwa wameshakimbia...du yule dada yuko fit utasema
fILBERT bayi alinukuu kaka mmoja....
Kwa kweli ni neema ya mungu,mungu aendelee kuwapa neema yake waendelee kuishi milele na milele
polen wote mliokumbwa na tukio hili
fILBERT bayi alinukuu kaka mmoja....
Kwa kweli ni neema ya mungu,mungu aendelee kuwapa neema yake waendelee kuishi milele na milele
polen wote mliokumbwa na tukio hili