mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 459
Wadau nawasalimu,
Ni muda sijaingia humu na leo nimeamua kulileta humu JF kutokana na kile kinachofanywa na hawa waandishi Wa habari Wa ITV na TBC Wa mkoani arusha mjini kutumiwa kisiasa na wao kutumika pasipo kujua wanatumika.
Mosi nimesema hayo kutokana na malalamiko niliyoyapata toka kwa mdau mmoja Wa mtandao Wa maendeleo Wa vijana Wa Meru ambao waliwaita ili kuja kuurusha hewanii katika vyombo vyao vya habari na moja Ya malengo Ya kikao hicho ni kuiambia Tanzania husani kijana Wa meru kuhusu fursa za kiuchumi zinazopatikana hapo Meru na kuzitumia vema kujikwamua.
Mara baada ya waandishi hawa Wa ITV Asiraji mvungi Wa ITV na yule Wa TBC kulipwa Pesa zao kwa kurusha tukio hilo hewani siku inayofuata hawakufanya hivyo na huku wamechukua laki moja kwa kila chombo, na kwa taarifa za interlenjisia ya mtandao huo kuna viongozi Wa chadema waliwanunua kwa dau kubwa na kuzima matukio yote waliyorekodi na sababu zao za kijinga kuwa mtandao huo unadhaminiwa na ccm.
Nimesikitishwa sana na waandishi hawa makanjanja na ninaomba uongozi Wa juu Wa ITV na TBC kuwachukulia hatua kali sana.
Nawasilisha.
Ni muda sijaingia humu na leo nimeamua kulileta humu JF kutokana na kile kinachofanywa na hawa waandishi Wa habari Wa ITV na TBC Wa mkoani arusha mjini kutumiwa kisiasa na wao kutumika pasipo kujua wanatumika.
Mosi nimesema hayo kutokana na malalamiko niliyoyapata toka kwa mdau mmoja Wa mtandao Wa maendeleo Wa vijana Wa Meru ambao waliwaita ili kuja kuurusha hewanii katika vyombo vyao vya habari na moja Ya malengo Ya kikao hicho ni kuiambia Tanzania husani kijana Wa meru kuhusu fursa za kiuchumi zinazopatikana hapo Meru na kuzitumia vema kujikwamua.
Mara baada ya waandishi hawa Wa ITV Asiraji mvungi Wa ITV na yule Wa TBC kulipwa Pesa zao kwa kurusha tukio hilo hewani siku inayofuata hawakufanya hivyo na huku wamechukua laki moja kwa kila chombo, na kwa taarifa za interlenjisia ya mtandao huo kuna viongozi Wa chadema waliwanunua kwa dau kubwa na kuzima matukio yote waliyorekodi na sababu zao za kijinga kuwa mtandao huo unadhaminiwa na ccm.
Nimesikitishwa sana na waandishi hawa makanjanja na ninaomba uongozi Wa juu Wa ITV na TBC kuwachukulia hatua kali sana.
Nawasilisha.