fangfangjt JF-Expert Member Apr 25, 2008 571 139 Jun 25, 2012 #1 kuna tarifa kutoka kwa wafanyakazi wa hospitali zinasema waandishi wa habari wazuiliwa kuingia hospitalini . Haija fahamika alietoa amri ni nani.
kuna tarifa kutoka kwa wafanyakazi wa hospitali zinasema waandishi wa habari wazuiliwa kuingia hospitalini . Haija fahamika alietoa amri ni nani.
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 Jun 25, 2012 #3 mgogoro wa mtu na mkewe usiuingilie
Polisi JF-Expert Member Nov 22, 2010 2,082 639 Jun 25, 2012 #5 Wanataka nini hao mapaparazi. Waache madaktari wafanye kazi