Waandishi wa Habari wa Tanzania sio wazalendo, wana majungu: Kibonde

Juzi niliokuwa nasikiliza Cloud Ifm jioni ktk kipindi maalum nilimsikia mtangazaji anaeitwa Kibonde akiponda sana wandishi wa habari hasa walaivyokuwa wanaripoti matukio ya siasa hasa yale ya Arusha na Polisi.
kwamfano
"Assalam Alikum, hawa waandishi wa habari wanataka sifa? wanataka nini Tanzania? hawaoni wenzao rwanda walivyosababisha mauji huko"
"Assalam Alakum. Eti gazeti hili limeandika, Polisi yakiri kuua", Hili limeandika Chadema latikisa taifa ,"haya ndio watz wanayataka?"
"waaandishi wanataka nini? hawajui kazi yao" huku azidi kunukuu magazeti yaliomchefua.kwanini wasiendike Kilimo kwanza, Elimu na matibabu? aliendelea kushua tuhuma kwa waandishi wetu wa habari

Pumba
 
Sidhani kuwa gazeti/habari zote zahusu swala moja tu kwenye vyombo vya habari. Yapo mengi yanayoandikwa/kuzungumzwa. Labda yeye huwa anasoma vichwa vya habari tu. Ila ninachofahamu mimi, vyombo vya habari vina habari/makala mbalimbali tofauti tofauti. Ila akumbuke pia habari nyingi zinajiuza kutokana na vichwa vyake vya habari.

Hata hivyo utaratibu anaufahamu, anaweza kuanzisha vya kwake vitakavyoandika hayo anayoyataka yeye.
 
Juzi niliokuwa nasikiliza Cloud Ifm jioni ktk kipindi maalum nilimsikia mtangazaji anaeitwa Kibonde akiponda sana wandishi wa habari hasa walaivyokuwa wanaripoti matukio ya siasa hasa yale ya Arusha na Polisi.
kwamfano
"Assalam Alikum, hawa waandishi wa habari wanataka sifa? wanataka nini Tanzania? hawaoni wenzao rwanda walivyosababisha mauji huko"
"Assalam Alakum. Eti gazeti hili limeandika, Polisi yakiri kuua", Hili limeandika Chadema latikisa taifa ,"haya ndio watz wanayataka?"
"waaandishi wanataka nini? hawajui kazi yao" huku azidi kunukuu magazeti yaliomchefua.kwanini wasiendike Kilimo kwanza, Elimu na matibabu? aliendelea kushua tuhuma kwa waandishi wetu wa habari

That's his slot, what is your take ? Can we discuss the headlines and their subsequent impact to peace ?

I for one have read many headlines 'za kupikwa' kwa manufaa ya mtu mmoja..( Even on leading dailies like mwananchi Tz daima, nipashe etc)

And ok am sayin it..'Some waandishi hawana ethics '

Kibonde is spot on , on that!

So bite me ! Mhandisi
 
<p>
Jamani wana jamii wenzangu?kwanza naomba kujua jamii forum imetekwa na chadem au?mana kumeibuka wimbi kubwa la watu wenye mlegwa,mi ni wana harakati lakini siku zote napenda kusikia vi2 vilivyo na vinavyo leta tija.mmemshambulia sn kibonde kuanzia elimu,familia mpk kazi,hv ****** ana busara?kufeli shule unauwakika?watoto sio wake unauwakika?naomba ukiandika jambo fafanua,alifeli shule flan,basha wake flan,watoto mkewe kazaa na flan,jamani tukumbuke jamii forum inasomwa na watu wengi sn na wenye rika tofauti,jamani nadhani tukiamua kuchangia hoja tuwe makini zaidh,mana kuna ukweli tanzania nch masikini na yenye matatizo makubwa,vifo vya arusha ni moja ya tatizo,je mengine mmeyasahau?tatizo waandishi wana ushabiki wan,wahariri wana ushabiki,wamiliki wana ushabiki,maaskofu,mashehe,so kila mtu ni mshabiki kwa kiwango chake,arusha inamatatizo makubwa nayo ni ukabila,udini,uccm na ucdm tusipokuwa makini lema atafanya lolote miaka 5 itakatika mana na yeye amekuwa mshabiki badala ya kuwa kiongozi,yeye km mbunge alitakiwa ajitaidi kuvunja makundi ili arusha isonge mbele lkn wapi arusha inasonga nyuma na gari lililokatika break.Muongo mkubwa
 
Jamani wana jamii wenzangu?kwanza naomba kujua jamii forum imetekwa na chadem au?mana kumeibuka wimbi kubwa la watu wenye mlegwa,mi ni wana harakati lakini siku zote napenda kusikia vi2 vilivyo na vinavyo leta tija.mmemshambulia sn kibonde kuanzia elimu,familia mpk kazi,hv ****** ana busara?kufeli shule unauwakika?watoto sio wake unauwakika?naomba ukiandika jambo fafanua,alifeli shule flan,basha wake flan,watoto mkewe kazaa na flan,jamani tukumbuke jamii forum inasomwa na watu wengi sn na wenye rika tofauti,jamani nadhani tukiamua kuchangia hoja tuwe makini zaidh,mana kuna ukweli tanzania nch masikini na yenye matatizo makubwa,vifo vya arusha ni moja ya tatizo,je mengine mmeyasahau?tatizo waandishi wana ushabiki wan,wahariri wana ushabiki,wamiliki wana ushabiki,maaskofu,mashehe,so kila mtu ni mshabiki kwa kiwango chake,arusha inamatatizo makubwa nayo ni ukabila,udini,uccm na ucdm tusipokuwa makini lema atafanya lolote miaka 5 itakatika mana na yeye amekuwa mshabiki badala ya kuwa kiongozi,yeye km mbunge alitakiwa ajitaidi kuvunja makundi ili arusha isonge mbele lkn wapi arusha inasonga nyuma na gari lililokatika break.


You are very right Mangoa.
kuna wana cdm humu hawakisaidii chama hata kidogo hawawezi kumsaidia kiongozi wao hata kama kateleza. wako tayari kutetea upupu wowote atakao sema Dr. WS, Mbowe lakini Zitto akitofautiana na ha jamaa kidogo basi ni si Mchadema! Kibonde anasema kweli ndio maana anatukanwa kwani ukweli siku zote unaauma! na hata kama yote hayo anafanya si yeye na mwili wake na familia yake? Lets discuss issues and not people!

Lema haoni arusha inapoteza umaarufu, watalii wataaishia kenya biashara zitadorora, yaani hajui ukiisha shinda jimbo wote waliopo kwenye jimbo hilo wananufaika na juhudi zako ili next time wamchague? msaidieni!

Halafu wengine humu ni kama wameajiriwa kutukana na kutoa majibu yasiyofaa kwa wale wanaotofautiana kimawazo. kama wana JF woote watakuwa na mawazo ya aina moja then hamna haja ya Forum yenyewe maana it will be dead!
I am out.
 
hana cheti chochote cha kuhitimu masomo.
Alifeli mtihani wa chekechea na akarudia mwaka na hapo pia akafeli na kisha kwa msaada wa mwalimu wa vidudu aliyekuwa anafahamiana na Mama yake aliamua kupindisha sheria na taratibu zilizowekwa na ndipo ndugu Ephrahim akaingia Darasa la kwanza.

mpk anamaliza darasa la saba wenzake alioanza nao la kwanza walikuwa wanamaliza form four.

Alifeli kihalali la 7.

Mtihani wa Moko wa darasa la 7 aliufanya akitokea chaka alikokuwa amebana kijobu.
 
<p>
Jamani wana jamii wenzangu?kwanza naomba kujua jamii forum imetekwa na chadem au?mana kumeibuka wimbi kubwa la watu wenye mlegwa,mi ni wana harakati lakini siku zote napenda kusikia vi2 vilivyo na vinavyo leta tija.mmemshambulia sn kibonde kuanzia elimu,familia mpk kazi,hv ****** ana busara?kufeli shule unauwakika?watoto sio wake unauwakika?naomba ukiandika jambo fafanua,alifeli shule flan,basha wake flan,watoto mkewe kazaa na flan,jamani tukumbuke jamii forum inasomwa na watu wengi sn na wenye rika tofauti,jamani nadhani tukiamua kuchangia hoja tuwe makini zaidh,mana kuna ukweli tanzania nch masikini na yenye matatizo makubwa,vifo vya arusha ni moja ya tatizo,je mengine mmeyasahau?tatizo waandishi wana ushabiki wan,wahariri wana ushabiki,wamiliki wana ushabiki,maaskofu,mashehe,so kila mtu ni mshabiki kwa kiwango chake,arusha inamatatizo makubwa nayo ni ukabila,udini,uccm na ucdm tusipokuwa makini lema atafanya lolote miaka 5 itakatika mana na yeye amekuwa mshabiki badala ya kuwa kiongozi,yeye km mbunge alitakiwa ajitaidi kuvunja makundi ili arusha isonge mbele lkn wapi arusha inasonga nyuma na gari lililokatika break.Muongo mkubwa

rudi shule kwanza kajifunze kuandika ndio uje hapa,,
 
mtu anayeshika kiberiti na kuwasha moto hasemwi; anayesema "kinaungua" ananyoshewa kidole? Hivi mnafikiri waandishi wa habari wakianza kurembesha katika kuandika kwao ndio tatizo la uongozi nchini litapata ufumbuzi? mnafikiri magazeti yakianza kuandika tofauti ndio mafisadi watalionea huruma taifa? Hivi polisi wakiua ingeandikwa vipi? mwizi akiiba tumwambie kachukua "bila kuomba"? Inabadilisha kile kilichotokea au inatufanya tujisikie vizuri kuwa hatukumwita mwizi mwizi?



Wanataka magazeti yote ya Tanzani yawe yanaandika kama hivi;

View attachment 20560
 
Fani ya uandishi wa habari inategemea matukio tofauti na uhasibu au engineering. Waandishi waandike nini kuhusu kilimo kwanza kwasababu tangu kimetanganzwa bungeni nini kimefanyika? waandike nini kuhusu matibabu ilihali tunajua hali halisi? Je wakiandika kuwa akina mama 4 wamekufa wakati wa kujifungua ina tofauti gani na kuandika watu 4 wamepigwa risasi Arusha? Je wangeandika nini kuhusu tukio la Arusha ili vichwa vya habari viwe soft? '' Polisi waua kidogo Arusha'' au Polisi wakemea mauaji Arusha.
Kumbukeni, Habari ni si ile inayohusu mbwa kumuuma binadamu, bali binadamu kumuuma mbwa.

Kaka unajitahidi kumuelimisha tahira? hilo zezeta siku hizi tunaliangalia tu si unaona hata gadna kalikimbia
 
Jamani wana jamii wenzangu?kwanza naomba kujua jamii forum imetekwa na chadem au?mana kumeibuka wimbi kubwa la watu wenye mlegwa,mi ni wana harakati lakini siku zote napenda kusikia vi2 vilivyo na vinavyo leta tija.mmemshambulia sn kibonde kuanzia elimu,familia mpk kazi,hv ****** ana busara?kufeli shule unauwakika?watoto sio wake unauwakika?naomba ukiandika jambo fafanua,alifeli shule flan,basha wake flan,watoto mkewe kazaa na flan,jamani tukumbuke jamii forum inasomwa na watu wengi sn na wenye rika tofauti,jamani nadhani tukiamua kuchangia hoja tuwe makini zaidh,mana kuna ukweli tanzania nch masikini na yenye matatizo makubwa,vifo vya arusha ni moja ya tatizo,je mengine mmeyasahau?tatizo waandishi wana ushabiki wan,wahariri wana ushabiki,wamiliki wana ushabiki,maaskofu,mashehe,so kila mtu ni mshabiki kwa kiwango chake,arusha inamatatizo makubwa nayo ni ukabila,udini,uccm na ucdm tusipokuwa makini lema atafanya lolote miaka 5 itakatika mana na yeye amekuwa mshabiki badala ya kuwa kiongozi,yeye km mbunge alitakiwa ajitaidi kuvunja makundi ili arusha isonge mbele lkn wapi arusha inasonga nyuma na gari lililokatika break.

Inauma sana lakini haya yote uliyoyasema ukweli mtupu....
 
Waandishi wa habari wengi Tanzania ni vilaza. Uandikapo habari haitakiwi uwe biased na haitakiwi uandike habari za kuchochea au kugawa watu. Wakulaumiwa zaidi ni wahariri, hawafanyi kazi zao ipaswavyo.
 
Waandishi wa habaro wengi Tanzania ni vilaza. Uandikapo habari haitakiwi uwe biased na haitakiwi uandike habari za kuchochea au kugawa watu. Wakulaumiwa zaidi ni wahariri, hawanyi kazi zao ipaswavyo.

Kwa kweli nakuunga mkono waandishi ni vilaza.kwi kwik kwik
 
Kwa kweli nakuunga mkono waandishi ni vilaza.kwi kwik kwik


I love JF hivi inakuwaje mtu anamkejeri muandishi wa habari wakati yeye mwenyewe hata kuandika thread moja hajuwi? kwahiyo ana maana waandishi hawanyi kazi zao?
 
Kibonde ni mmoja wa watu amabo uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana yeye hawezi ku-analyse mambo vizuri na siku zote anatoa comments ambazo zinaonyesha kabisa kuwa anatumiwa na watu fulani....labda anafikiri atapewa ukuu wa wilaya.....ana pumba sana huyu jamaa!
 
Kibonde ni mgonjwa wengi tunalifaham haswa watu wa upanga, siku nyingi tu Anatumia dawa tu ndo kuna wakati aliponea tundu la sindano, naona akarudi sasa si mnajua Yale maradhi pia yana brain damage pia msibishane hapa mwezenu si sawa.
 
Back
Top Bottom