Tunatambua kweli kuna Taaluma ya waandishi wa habari. Kazi yao ni kuburudisha jamii, kuelimisha na kutoa habari. Bahati nzuri au mbaya siku hizi kila mkoa una wawakilishi wa kuandika habari kupitia karibu kila chombo. tunashindwa kuelewa kwanini wanasiasa wanapotoka Dar kuja mikoani Waandishi mnanunuliwa kuja kuandika kulingana na matashi ya hao wanasiasa.
Je mtajenga nchi kwa kutumia taaluma hivi. Juzi Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Kijana anayetuhumiwa kuwa na uraia wa nchi mbili, ambaye amedhalilisha wadogo zake kwa kuwapeleka Arusha kuwaonyesha kwa wazungu eti anawasomesha, alikuwepo Singida.
Hakutumia waandishi wa Singida, badala yake anakuja na timu ya kukodi, timu ambayo haina ushahidi wa mambo wanayoandika ndo hao akaenda nao kijijini, wakatoka kule kutuletea habari za uongo. Tutumie taaluma vizuri, ila pia mnapokodishwa waandishi muwe mnajiuliza, mnasaidia taifa au kuangamiza.
MWANDISHI ANAYEPANDA STK, STJ, DFP kwenda katika Field, hataandika bila kuegemea upande wa yule aliyemleta. Lakini huyu Mwandishi anasaidia jamii. HABARI ZA KWELI, ZA UHAKIKA NA ZENYE USHAHIDI KUTOKA ENEO HUSIKA, WANAZO WAANDISHI WA MAENEO HUSIKA.
NI AIBU HATA WAANDISHI WANAOKODISHWA WAKIFIKA ENEO WALIKOPELEKWA HAWAWASILIANI NA WAWAKILISHI WENZAO KATIKA ENEO WALIPO. URAFIKI WA WAANDISHI NA WANASIASA UNATUHARIBIA NCHI.
HATUANDIKI UKWELI, TUNAANDIKA KULINGANA NA WALIOTUCHUKUA.............aibu sana
Je mtajenga nchi kwa kutumia taaluma hivi. Juzi Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Kijana anayetuhumiwa kuwa na uraia wa nchi mbili, ambaye amedhalilisha wadogo zake kwa kuwapeleka Arusha kuwaonyesha kwa wazungu eti anawasomesha, alikuwepo Singida.
Hakutumia waandishi wa Singida, badala yake anakuja na timu ya kukodi, timu ambayo haina ushahidi wa mambo wanayoandika ndo hao akaenda nao kijijini, wakatoka kule kutuletea habari za uongo. Tutumie taaluma vizuri, ila pia mnapokodishwa waandishi muwe mnajiuliza, mnasaidia taifa au kuangamiza.
MWANDISHI ANAYEPANDA STK, STJ, DFP kwenda katika Field, hataandika bila kuegemea upande wa yule aliyemleta. Lakini huyu Mwandishi anasaidia jamii. HABARI ZA KWELI, ZA UHAKIKA NA ZENYE USHAHIDI KUTOKA ENEO HUSIKA, WANAZO WAANDISHI WA MAENEO HUSIKA.
NI AIBU HATA WAANDISHI WANAOKODISHWA WAKIFIKA ENEO WALIKOPELEKWA HAWAWASILIANI NA WAWAKILISHI WENZAO KATIKA ENEO WALIPO. URAFIKI WA WAANDISHI NA WANASIASA UNATUHARIBIA NCHI.
HATUANDIKI UKWELI, TUNAANDIKA KULINGANA NA WALIOTUCHUKUA.............aibu sana