Mpunumpunyenye
Senior Member
- Dec 7, 2011
- 114
- 50
Nasikitishwa sana na mfumo wa waandishi wa habari wa tanzania kwa vitendo vyao viovu vya kupiga makelele kudai uhuru wa kupata na kutoa habari, swali nauliza ni uhuru gani mnaodai zaidi ya huu mlionao??
Nauliza hivyo kwa sababu waandishi wa habari wa tanzania wapo huru kuandika habari kuliko nchi zote duniani, nasema hivyo nnayo sababu, maana tanzania kwenye magazeti wanaandika hadi habari za ikulu, usalama wa taifa, za watu binafsi, akaunti za watu mwasasiliano binafsi ya watu siri za serikali kwenye magazeti yao ambavyo ni kinyume na maadili ya uandishi wa habari,
imefikia mpaka mtu anaandika habari yoyote kwa maslahi anayoyajua yeye mwenyewe bila kuangalia madhara yake kwa jamii. Mjitafakuri kwanza na mjipime.
Nauliza hivyo kwa sababu waandishi wa habari wa tanzania wapo huru kuandika habari kuliko nchi zote duniani, nasema hivyo nnayo sababu, maana tanzania kwenye magazeti wanaandika hadi habari za ikulu, usalama wa taifa, za watu binafsi, akaunti za watu mwasasiliano binafsi ya watu siri za serikali kwenye magazeti yao ambavyo ni kinyume na maadili ya uandishi wa habari,
imefikia mpaka mtu anaandika habari yoyote kwa maslahi anayoyajua yeye mwenyewe bila kuangalia madhara yake kwa jamii. Mjitafakuri kwanza na mjipime.