The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,843
Mkuu The Boss, bahasha ni dunia nzima mpaka Ikulu inatembeza bahasha, hiyo PCCB yenyewe na mpaka Polisi wanatembeza bahasha halali kama wanavyotembezewa!.
dunia nzima kivipi?
waandishi wa kenya wanapokea bahasha?
marekani?
uingereza?
south africa?????