Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Jamani waandishi wa habari inatakiwa muwe makini kidogo maana nyinyi ni kioo cha jamii. Kuna huyu mwandishi wa habari Anaitwa Audax Mtiganzi alifanya kituko hiki wakati akiwa katika msafara wa waziri wa maji ambaye alikwenda kutembelea mkoa wa Kagera na akiwa katika msafara alivua nguo kama anavyoonekana katika picha hii. Hiki si kitendo cha kiungwana hasa ikichukuliwa kwamba msafara kama huo huwa na watu wa heshima.
Mimi si muandishi wa habari lakini sijui kama ethics za kazi za waandishi zinaruhusu mambo haya ya kihuni kufanyika.
Huyu bwana hakustahili kuvua karibu na watu namna hii.
Mimi si muandishi wa habari lakini sijui kama ethics za kazi za waandishi zinaruhusu mambo haya ya kihuni kufanyika.
Huyu bwana hakustahili kuvua karibu na watu namna hii.