Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Pamoja na madudu yote yanayotokea na kuhatarisha usalama sijaona hata gazeti au chombo chochote cha habari kinacholeta majibu ya RO kuelezea uzembe na matukio haya mbalimbali. Haiwezekani matukio yote yaliyotokea kuanzia kashfa za ufisadi na sasa masuala ya usalama ambayo yanatishia hata usalama wa Rais hajawahi kukaa chini na kuzungumza na waandishi kutuelezea inakuwaje?
Kinachoudhi hakuna hata wabunge wenye ujasiri wa kutaka maelezo juu ya masuala haya ya usalama hadi jambo fulani baya litokee ndio wawe wa kwanza kusema ni mapenzi ya Mungu na kuwa "tusitafute mchawi"
kweli?
Kinachoudhi hakuna hata wabunge wenye ujasiri wa kutaka maelezo juu ya masuala haya ya usalama hadi jambo fulani baya litokee ndio wawe wa kwanza kusema ni mapenzi ya Mungu na kuwa "tusitafute mchawi"
kweli?