KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Waandishi mmetudhalilisha kama mlifanya hili milipotoka yapaswa muwaombe radhi wa Tanzania!Habari zilizopo nikwamba mlishindwakumpiga picha fisadi la Dowans Mliwekea shariti kuingia kwenye hotel aliyofikia mliambiwa mchukue Bahasha na muache kamera zenu gatini papoja na simu!!!tena kwakudhalilishwa mlisachiwa ndiyo maana hamkuwa na picha ya fisadi!! Je mnalo lakutwambia! Watanzania???Kwa fedhea hii!!