Ndg, JF, habari kutoka kwenye source moja ambayo siyo rasmi inadai kwamba jamaa walipofika kwenye ukumbi walipokutana na Mwekezaji waligaiwa bahasha kila mmoja mlangoni. Najiuliza ni kweli au la??? pili, hata hawa jamaa wa BBC, CNN, AL jazeera, RFI, VOA, what the shame?
Wenye habari za kuaminika watujuze humu ndani wandg!!!
Na je? WaTZ walipigwa changa la macho kuhusu huyu jamaa au? Why, envelope? what was enclosed, an entelope? lion?
Nawakilisha!
Wenye habari za kuaminika watujuze humu ndani wandg!!!
Na je? WaTZ walipigwa changa la macho kuhusu huyu jamaa au? Why, envelope? what was enclosed, an entelope? lion?
Nawakilisha!