List nzima ni nzuri ila Michuzi amekaa pahala pasipokuwa pake kuna waandishi wenye sifa za kuwa hapo kutokana na weledi wa habari zao. Mfano mzuri ni Justus Mwigulubi wa Mwanahalisi.
Johnson Mbwambo baada ya uchaguzi mkuu alipotea kabisa sijui kwanini; nadhani it was tactical kwani alifanya kazi kubwa sana kuliepusha taifa kutoka kuweza kuangukia kwa mafisadi papa!!He is my favourite; of late sijanunua Raia Mwema sijui kama anaendelea na column yake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.