Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Suala la waalimu kugoma sii jipia maskioni mwa watu wengi.
Tulishuhudia mgomo wa waalimu Tanzania, na sasa waalimu Kenya nao wako kwenye mgomo.
Miaka ya nyuma hatukuwahi kusikia waalimu wakigoma.
Najiuliza, hii migomo ya waalimu inaashiria kwamba waalimu wamesahauliwa au wamejisahau?
Tulishuhudia mgomo wa waalimu Tanzania, na sasa waalimu Kenya nao wako kwenye mgomo.
Miaka ya nyuma hatukuwahi kusikia waalimu wakigoma.
Najiuliza, hii migomo ya waalimu inaashiria kwamba waalimu wamesahauliwa au wamejisahau?