Ukitaka kujua haya jiulize swali hili.Kwanini waalimu wengi mara wapandapo vyeo na kua maafisa ndio huwa mstari wa mbele kunyanyasa wenzao?baada ya muda mfupi tu anasahau kuwa anapaswa kuwahudumia wengine;Hebu acheni tabia mbaya ndio maana hata hamnenepi kwa sababu ya roho ya korosh.