Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,052
- 6,702
hizo group za whatsapp zikiwa na member wengi huwa mnalipwa au?? maana kila mtu kitu kidogo tu group la whatsapp heeew au ni UCHU WA MADARAKA mnataka mjipooze kwa kuwa ma admin??
mkuu you made my dayVijana tulieni ajira mtapewa tu....ngoja tumalize hii operation ya kuwakamata watu guest, haiwezekani mtu saa tano asubuh yupo juu ya kiuno cha mwenzie anakatika
hahahahaha mbavu zangu jamani!Vijana tulieni ajira mtapewa tu....ngoja tumalize hii operation ya kuwakamata watu guest, haiwezekani mtu saa tano asubuh yupo juu ya kiuno cha mwenzie anakatika
uwoga wako ndio umasikini wako....!SUBIRI utatumia namba ya mh MAKONDAKTA sasa hivi, mnachati na kupanga mikakati yenu mkifikiri mpo pamoja kumbe wengi wanawa-SPY!
hahahahahahaa mwanchekesha miie yani mpaka leo eti mwasubiri ajira?mbona mnakuwamasikin wa fikra hivyo sina maana yakwamba nawatukana hapana nyinyi ni wasomi kwa nn mkae mnasubiri kuajiriwa na mlalamike kwa serekali?moja ya wajibu wa serekali ni kuwasomesha raia wake bila shaka mmesomeshwa sasa kwanini msianzishe hilo group la wasap then mkaangalia jinsi gani mnaweza kutoka mfano mnaweza kuanzisha project ya kilimo na mkafanikiwa zaidi kuliko huko kusubiri ajira za serekali mm binafsi yangu ni mhitimu wa kidato cha sita na nimefaulu vizuri tu kwa div2 now nipo shamba nalima water melone, nyanya na matango natarajia baada ya muda mfupi sitakaa na kuwaza ajira serekalini naambia ukweli mnapoteza muda and remember time never wait ajira za serekali ni kupotezeana muda tu jiulize umekaa bench kwa muda gani mpaka sasa but ungelima matango tu nusu heka mpaka leo hii tunaongea hapa ungekuwa unajua now upo kwenye position ipi coz matango ni only one month mpaka unavuna mpaka sasa ungekuwa umesha vuna hayaa tikiti maji ni 2month only haya nyanya ni 75days until havesting, Jamani embu tutumieni kiwango chetu hicho kidogo cha elimu kujitoa kimaisha mm nawaambia ukijikita kwenye kilimo huwezi kufikiria kuuajiriwa embu liangalieni hili
hizo group za whatsapp zikiwa na member wengi huwa mnalipwa au?? maana kila mtu kitu kidogo tu group la whatsapp heeew au ni UCHU WA MADARAKA mnataka mjipooze kwa kuwa ma admin??
shukut kaka, tutalifanyia kazi kiongoz wao lako, nimelipenda sanaMtakuja kuopolewa kama samaki maana najua matusi na lugha za kejeli zitatawala juu ya Mkulu.Hakika hamtakuwa salama na ndo hivyo mtakuwa hamjuani.Jiandaeeni na dhamana za milion 5.Kuna mtu alijaribu kumuita Magu akadhani atabaki salama,Lahaulaaa wakamchukua naye.
Jamiiforums bado ni sehem salama kwasasa nadhani ndo mahali pekee kujadili mada zote zenye ukakasi.
Mnachotakiwa kufanya ni kuanzisha Topic yenu na kuomba iwekwe sticky na Moderators then mnalisongesha kwa uhuru na amani.Povu likikujaa ukatoa katusi kadogo Moderator anakushughulikia kidogo.
Hofu yako inabaki kwenye Ban tu na sio mambo ya mahakamani.
Najua sio wewe bali ni stress..... Sina haja ya kukuzidishia stress nyingineNarrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!
Kuna watu wengine bwana. Kama unaona so la msingi potezea.hizo group za whatsapp zikiwa na member wengi huwa mnalipwa au?? maana kila mtu kitu kidogo tu group la whatsapp heeew au ni UCHU WA MADARAKA mnataka mjipooze kwa kuwa ma admin??
Ingelikua zamani ningeshakupa bonge la kombora,naogopa cyber crime ngoja nipite kimyahahahahahahaa mwanchekesha miie yani mpaka leo eti mwasubiri ajira?mbona mnakuwamasikin wa fikra hivyo sina maana yakwamba nawatukana hapana nyinyi ni wasomi kwa nn mkae mnasubiri kuajiriwa na mlalamike kwa serekali?moja ya wajibu wa serekali ni kuwasomesha raia wake bila shaka mmesomeshwa sasa kwanini msianzishe hilo group la wasap then mkaangalia jinsi gani mnaweza kutoka mfano mnaweza kuanzisha project ya kilimo na mkafanikiwa zaidi kuliko huko kusubiri ajira za serekali mm binafsi yangu ni mhitimu wa kidato cha sita na nimefaulu vizuri tu kwa div2 now nipo shamba nalima water melone, nyanya na matango natarajia baada ya muda mfupi sitakaa na kuwaza ajira serekalini naambia ukweli mnapoteza muda and remember time never wait ajira za serekali ni kupotezeana muda tu jiulize umekaa bench kwa muda gani mpaka sasa but ungelima matango tu nusu heka mpaka leo hii tunaongea hapa ungekuwa unajua now upo kwenye position ipi coz matango ni only one month mpaka unavuna mpaka sasa ungekuwa umesha vuna hayaa tikiti maji ni 2month only haya nyanya ni 75days until havesting, Jamani embu tutumieni kiwango chetu hicho kidogo cha elimu kujitoa kimaisha mm nawaambia ukijikita kwenye kilimo huwezi kufikiria kuuajiriwa embu liangalieni hili
Acha blabla hapa. We tupe njia za KUSAKA mtaji kwanza then ndo Tulime. We unafikili kulima ni kusoma??hahahahahahaa mwanchekesha miie yani mpaka leo eti mwasubiri ajira?mbona mnakuwamasikin wa fikra hivyo sina maana yakwamba nawatukana hapana nyinyi ni wasomi kwa nn mkae mnasubiri kuajiriwa na mlalamike kwa serekali?moja ya wajibu wa serekali ni kuwasomesha raia wake bila shaka mmesomeshwa sasa kwanini msianzishe hilo group la wasap then mkaangalia jinsi gani mnaweza kutoka mfano mnaweza kuanzisha project ya kilimo na mkafanikiwa zaidi kuliko huko kusubiri ajira za serekali mm binafsi yangu ni mhitimu wa kidato cha sita na nimefaulu vizuri tu kwa div2 now nipo shamba nalima water melone, nyanya na matango natarajia baada ya muda mfupi sitakaa na kuwaza ajira serekalini naambia ukweli mnapoteza muda and remember time never wait ajira za serekali ni kupotezeana muda tu jiulize umekaa bench kwa muda gani mpaka sasa but ungelima matango tu nusu heka mpaka leo hii tunaongea hapa ungekuwa unajua now upo kwenye position ipi coz matango ni only one month mpaka unavuna mpaka sasa ungekuwa umesha vuna hayaa tikiti maji ni 2month only haya nyanya ni 75days until havesting, Jamani embu tutumieni kiwango chetu hicho kidogo cha elimu kujitoa kimaisha mm nawaambia ukijikita kwenye kilimo huwezi kufikiria kuuajiriwa embu liangalieni hili