Siku zote uwa naamini kuwa sie ni noma,ila kuna kitu tunakosa ambacho siku tukija kukipata hata wazungu wenyewe watatuvulia kofia.Hiyo picha ya system ya kupata maji ya moto imenikosha sana,jamaa ni lazima atakuwa amesoma boding tuu kwa hilo nina uhakika.
Haya, nime-update picha zile pale juu kwa kuongeza picha zinzoonyesha creativy zaidi. Halafu nikaona inongeze hizi zinazoonyesha negatives zetu pia:
Ukiwa mgeni ukakutana na daladala hilo utajua kuwa linakwenda Mburahati hata kama linakwenda linakwenda Mwenge.
Akina dada zetu wengi siku hizi wamejifunza kuwa ili wapate raha lazima wafurame. Picha zote zinazoletwa na Michuzi kutoka kumbi mbalimbali za muziki hapo Dar zinaonyesha hivyo.
Badala ya kufanya kazi za maana, waafrika tunaweza kutumia muda mwingi na zana za kazi kufanya mambo ya kipuuzi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.