Waafrika ndivyo tulivyo?

Dondola,
Sijui kama nimekuelewa vizuri lakini nadhani una maanisha kuwa sisi rangi yetu ndio nuksi yenyewe au sio?.....

Hapana ndugu yangu sii rangi yetu isipokuwa sisi Waafrika kilichotuangusha hadi leo ni kama nilivyotaja hapo juu. Mbali na fikra binafsi nadhani mchango mkubwa wa udhaifu wetu umetokana na ULIMBUKENI. Katika mataifa yote unayoyafahamu ebu nambie race hata moja ililopoteza kabisa culture zake na kubeba za kigeni?...hakuna...

Waafrika peke yetu bob na kibaya ni kwamba hatukubaliki na hao tunaowaiga. Wale waliotawaliwa na Mfaransa basi hao hujifanya Wafaransa kuliko hata Wafaransa mwenyewe. Na tunaamini kabisa kuwa hatuwezi kukubalika bila kujifunza culture za hawa watu. Huyo Mmarekani mweusi imechukua karne nzima kuweza yeye kukubali kuwa ana asili na Afrika tena baada ya wazungu kuwatema. Huko South ndio kabisa hawakubali kama Maspanish, bado tu wameshikilia kuwa wao ni maspanish!...hawataki kabisa kujishirikisha na Afrika. Lakini huyaoni haya ktk race nyinginezo, Mchina amebaki Mchina popote pale alipo hata kama atazungumza lugha yako fluent. Na atafanya juu chini uanze kula wali kwa vijiti, kumwabudu Budha na hata ujifunze Kung fu na Karate.

Tazama Kariakoo, si wamejaa Wachina hao wamachinga lakini subiri sii muda Chinese food itakavyoanza kupata soko!.. they sale Chinese product! Mtu mweusi tunaona Uafrika ni uchawi tu unatia kiza! Wahindi vile vile leo hii chakula chetu kikuu cha kumkamatia mgeni utasema Biryani... tumeiga wapi?

Tazama, Hata taifa la zamani kihistoria kama Misri wamepoteza kabisa lugha na culture zao zoteeee! leo hii wanajullikana Wamisri kama Waarabu hakuna tena Mu - Misri wala culture zake zaidi ya kusimuliwa hao akina Pharaoh.

Ulimbukeni mshikaji na leo hii kiswahili kinaonekana choo kabisa tena tumeanza hata kukiwekea mashaka kuwa ni lugha ya utumwa maadam tu Kiingereza kipate nafasi ya kwanza tujisikie nasi binadamu - wazungu.

Kifupi sidhani kama matatizo yetu yanatokana na laana ya rangi. Isipokuwa mambo muhimu hapo juu yakichangia na Kushindwa kusamehe Utumwa kama ni jambo lililokwisha tokea na tuangalie mbele. Wagonjwa wa Dipresheni huendelea kudhoofika kila siku wanaposhindwa kusamehe matukio yaliyopita ili wapate mwanzo mpya. Na wengine hufa bila gonjwa kwani wakipimwa hospital huonekana wazimaaa! basi Afrika ndio maradhi yetu hayo!
 
Dondola,
Sijui kama nimekuelewa vizuri lakini nadhani una maanisha kuwa sisi rangi yetu ndio nuksi yenyewe au sio?.....

Hapana ndugu yangu sii rangi yetu isipokuwa sisi Waafrika kilichotuangusha hadi leo ni kama nilivyotaja hapo juu. Mbali na fikra binafsi nadhani mchango mkubwa wa udhaifu wetu umetokana na ULIMBUKENI.

Well, niliposema 'colour', ndani yake nilikuwa nimebeba maana ya culture. Kwa hiyo nakubaliana nawe kuwa ni hiyo culture yetu ya ulimbukeni.:) Kuhusu culture za kigeni, tofauti yetu waafrika na wengine ni kuwa tunaiga culture badala ya kuiga maarifa. Wengine huwa na lengo la kuiga maarifa, kama ili kupata maarifa inambidi aige culture, basi atafanya hivyo kwa lengo hilo tu, lakini mwishoni atabaki na culture yake, kama walivyofanya wajapani. Kwanini waafrika tunang'ang'ania kuiga culture bila kuiga maarifa? Kweli ni ulimbukeni
 
Great points Mkandara. Kifupi: kinachotuangusha sisi watitu ni ubinafsi, kutojiamini, ulimbukeni, nk.

Kila ninaposoma magazeti ya Bongo, sikosi maelezo ya namna hii: Raisi au Waziri mkuu akiwa ziarani ughaibuni akutana na mkuu wa nchi fulani na kujadiliana uhusiano wa nchi hizo mbili katika nyanja mbali mbali. Raisi ameahidiwa msaada wa kujengewa daraja, au shule au zahanati au pump za maji au piki piki 10 na vitu vingine vidogo vidogo vya namna hivyo.

Viongozi wetu wapo makini kweli? Tunataka kiongozi anayejiamini kwamba watanzania wenyewe wanaweza kujiletea maendeleo au walao kuondokana na umasikini kwanza.
 
Invicible hayo matatu ndio hasa yanayotulet down, hasa la ubinafsi na kukosa uzalendo. Ndio maana leo hii kila mtu Tz anataka uongozi be it udiwani, ubunge etc, ote ni kwa manufaa binafsi!
 
dondola,
tofauti yetu waafrika na wengine ni kuwa tunaiga culture badala ya kuiga maarifa.
.
Mwanaume haya maneno na siku tutajifunza kuiga maarifa basi ndio mwanzo wa safari utakapo anza.

Invincible,
Haswaaa mwanangu umesema, jamani hata shule za msingi, Zahanati na eti madaraja lazima tupate msaada toka nje tena kwa ziara ya rais ama Waziri mkuu?...

Jana tulikuwa na baadhi ya viongozi toka Bongo, mshikaji kila PENDEKEZO wao wanalo jibu!...(Pendekezo sio swali)
Sasa nambie ikiwa mtu atapendekeza kuwa nchi yetu iwaandae vijana Kielimu ili kwenda sambamba na uwekeshaji...atapewa jibu kutokana na hoja fupi iliyodai kuwa nchi yetu ipo nyuma kielimu. Hapo utasikia shule vyuo na University ngapi zimefunguliwa na hata idadi ya wanafunzi wanaohitimu.

Njia za Mawasiliano kuboreshwa utaambiwa hesabu ya simu za mkononi n.k.. Hali swala zima ni kwamba Tanzania inahitaji kuwaanda vijana wake mapema kwa kila mradi unaokusudiwa. Sio kuwapa elimu baada ya mradi umeisha funguliwa jambo ambalo linawafanya wageni wawekeshaji kuwa na kila sababu ya kuchukua watu toka nje.

Kisha basi ukiuliza kuhusu sababu ya watu wa nje kuchukua kazi zetu, utaambiwa hatuna elimu ama ujuzi, well sasa hizi University na vyuo tunavyojisifia kufungua vina toa elimu gani?..

Yaani hata haielezeki zaidi ya mtu kutazama kinachoendelea.

MTz,
nakubaliana nawe kabisa! nadhani hii ya Wataalam wetu kugeuka kuwa wanasiasa pia inazidi kuchangia sana. Na ndio maana kila swala linapata jibu la mkato. Utajibiwa kisiasa ama kitaalam na mhusika hali akijua HALI halisi ya nchi yetu haipo hivyo kabisa.
 
Mkandara,

Kaka tupe yaliyojiri in brief ktk ziara ya Lowassa huko, au hamkupata nafasi ya kuongea naye pamoja na msafara wake?

Je, wameongelea lipi jipya?
 
Hakuna mpya ndugu yangu!...hakuna mpya isipokuwa tunasubiri matokeo. Tulichonacho ni hiyo HOPE!

Ujumbe mzima Unaitangaza nchi kwa kutumia sana vitabu na statistics hali hali halisi inajulikana....hatuna UMEME. Kwa hiyo wamekutana na hao wawekeshaji wanaoifahamu TZ na sijui kama kweli message imefika kwa wengineo ambao hawaifahamu nchi na wapenda haki bila ULAJI.

Wewe unafikiri mkutano uliodhaminiwa na Barricks na Wahindi unategemea kipya?

Kama unakumbuka ya Mzee ES, Ukitaka kuonana na Bush lazima zikutoke wewe..he had no time kwa wabongo bob na wala haikuwa kusudio laziara yake.
 
mimi naamini muafrika hana akili ni buburu tu.

THE FOLLOWING is a speech made by former South African President P.W. Botha to his Cabinet. This reprint was written by David G. Mailu for the Sunday Times, a South African newspaper, dated August 18, 1985.

"Pretoria has been made by the White mind for the White man. We are not obliged even the least to try to prove to anybody and to the Blacks that we are superior people. We have demonstrated that to the Blacks in a thousand and one ways. The Republic of South Africa that we know of today has not been created by wishful thinking. We have created it at the expense of intelligence, sweat and blood. Were they Afrikaners who tried to eliminate the Australian Aborigines? Are they Afrikaners who discriminate against Blacks and call them Nigge*rs in the States? Were they Afrikaners who started the slave trade? Where is the Black man appreciated? England discriminates against its Black and their "Sus" law is out to discipline the Blacks. Canada, France, Russia, and Japan all play their discrimination too. Why in the hell then is so much noise made about us? Why are they biased against us? I am simply trying to prove to you all that there is nothing unusual we are doing that the so called civilized worlds are not doing. We are simply an honest people who have come out aloud with a clear philosophy of how we want to live our own White life.

We do not pretend like other Whites that we like Blacks. The fact that, Blacks look like human beings and act like human beings do not necessarily make them sensible human beings. Hedgehogs are not porcupines and lizards are not crocodiles simply because they look alike. If God wanted us to be equal to the Blacks, he would have created> us all of a uniform colour and intellect. But he created us differently: Whites, Blacks, Yellow, Rulers and the ruled.

Intellectually, we are superior to the Blacks; that has been proven beyond any reasonable doubt over the years. I believe that the Afrikaner is an honest, God fearing person, who has demonstrated practically the right way of being. Nevertheless, it is comforting to know that behind the scenes, Europe, America, Canada, Australia-and all others are behind us in spite of what they say. For diplomatic relations, we all know what language should be used and where. To prove my point, Comrades, does anyone of you know a White country without an investment or interest in South Africa? Who buys our gold? Who buys our diamonds? Who trades with us? Who is helping us develop other nuclear weapon? The very truth is that we are their people and they are our people. It's a big secret.

The strength of our economy is backed by America, Britain, Germany. It is our strong conviction, therefore, that the Black is the raw material for the White man. So Brothers and Sisters, let us join hands together to fight against this Black devil. I appeal to all Afrikaners to come out with any creative means of fighting this war. Surely God cannot forsake his own people whom we are. By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other.

They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence. Isn't it plausible? therefore that the White man is created to rule the Black man? Come to think of what would happen one day if you woke up and on the throne sat a Kaff*ir! Can you imagine what would happen to our women? Does anyone of you believe that the Blacks can rule this country?

Hence, we have good reasons to let them all-the Mandelas-rot in prison, and I think we should be commended for having kept them alive in spite of what we have at hand with which to finish them off. I wish to announce a number of new strategies that should be put to use to destroy this Black bug. We should now make use of the chemical weapon. Priority number one, we should not by all means allow any more increases of the Black population lest we be choked very soon. I have exciting news that our scientists have come with an efficient stuff.

I am sending out more researchers to the field to identify as many venues as possible where the chemical weapons could be employed to combat any further population increases. The hospital is a very strategic opening, for example and should be fully utilized. The food supply channel should be used. We have eveloped excellent slow killing poisons and fertility destroyers. Our only fear is in case such stuff came in! ! to their hands as they are bound to start using it against us if you care to think of the many Blacks working for us in our homes.

However, we are doing the best we can to make sure that the stuff remains strictly in our hands. Secondly, most Blacks are vulnerable to money inducements. I have set aside a special fund to exploit this venue. The old trick of divide and rule is still very valid today. Our experts should work day and night to set the Black man against his fellowman. His inferior sense of morals can be exploited beautifully. And here is a creature that lacks foresight.

There is a need for us to combat him in long term projections that he cannot suspect. The average Black does not plan his life beyond a year: that stance, for example,should be exploited. My special department is already working round the clock to come out with a long-term operation blueprint. I am also sending a special request to all Afrikaner mothers to double their birth rate. It may be necessary too to set up a population boom industry by putting up centres where we employ and support fully White young men and women to produce children for the nation.

We are also investigating the merit of uterus rentals as a possible means of speeding up the growth of our population through surrogate mothers.

For the time being, we should also engage a higher gear to make sure that Black men are separated from their women and fines imposed upon married wives who bear illegitimate children.

I have a committee working on finding better methods of inciting Blacks against each other and encouraging murders among themselves.

Murder cases among Blacks should bear very little punishment in order to encourage them.

My scientists have come up with a drug that could be smuggled into their brews to effect slow poisoning results and fertility destruction. Working through drinks and manufacturing of soft drinks geared to the Blacks, could promote the channels of reducing their population. Ours is not a war that we can use the atomic bomb to destroy the Blacks, so we must use our intelligence to effect this. The person-to-person encounter can be very effective.

As the records show that the Black man is dying to go to bed with the White woman, here is our unique opportunity. Our Sex Mercenary Squad should go out and camouflage with Apartheid Fighters while doing their operations quietly administering slow killing poison and fertility destroyers to those Blacks they thus befriend.

We are modifying the Sex Mercenary Squad by introducing White men who should go for the militant Black woman and any other vulnerable Black woman. We have received a new supply of prostitutes from Europe and America who are desperate and too keen to take up the appointments.

My latest appeal is that the maternity hospital operations should be intensified. We are not paying those people to help bring Black babies to this world but to eliminate them on the very delivery moment. If this department worked very efficiently, a great deal could be achieved.

My Government has set aside a special fund for erecting more covert hospitals and clinics to promote this programme. Money can do anything for you. So while we have it, we should make the best use of it. In the meantime my beloved White citizens, do not take to heart what the world says, and don't be ashamed of being called racists. I do not mind being called the architect and King of Apartheid. I shall not become a monkey simply because someone has called me a monkey. I will still remain your bright star...His Excellency Botha
 
Kinyikani,
Jiulize tu what happened to people like P.W. and Hitler. History proved them wrong.Ukikubaliana nao ni kama una suffer from self hate.
 
Dondola,
Lakini hiyo emotional incompetence imesababishwa na nini? Years of humiliation, deprivation, and subjugation under apartheid. You see what happened in New Zealand with the Maoris, the Aborigines of Australia, the natives of North America, the genocide that was perpetrated by the white man against people of other colour and then you can talk about emotional incompetence. Acha bwana!
 
Dondola,
Lakini hiyo emotional incompetence imesababishwa na nini? Years of humiliation, deprivation, and subjugation under apartheid. You see what happened in New Zealand with the Maoris, the Aborigines of Australia, the natives of North America, the genocide that was perpetrated by the white man against people of other colour and then you can talk about emotional incompetence. Acha bwana!

Jasusi, ngoja nikufafanulie kwanini nimeafiki emotional incompetence:
Wewe hapa umetoa mifano ya jinsi race nyingine zilivyoonyesha emotional incompetence dhidi ya waafrika, hiyo mimi siiti emotional incompetence, hiyo kwa mtazamo wangu ni temporary emotional incompetence ambayo ni matunda ya conflict fulani (ni kama aina fulani ya vita). Emotional incompetence ninayoiongelea mimi ni pale tutakapofanya comparison ya emotional incompetence ya:
-Waafrika wenyewe kwa wenyewe
-Wazungu wenyewe kwa wenyewe
-Waarabu wenyewe kwa wenyewe
-Waasia wenyewe kwa wenyewe
etc

Hebu chunguza hapo na unambie ni jamii gani yenye kiwango cha chini cha upendo.
 
Dondola,
Mbona unanipa mtihani mzito ndugu yangu? Ngoja basi nijaribu. Wazungu wakati wa conquest of empires hawakuwa na upendo miongoni mwao. Walishindana na kuibiana mali ( si unakumbuka stori za maharamia wa baharini? Pirates) Hawa walikuwa wazungu kwa wazungu. Hatimaye wakakubaliana kushirikiana. Wakagawana nchi--kv Afrika, Latin Amerika n.k na wakawekeana mipaka. French colony, British Colony, Portuguese colony.etc. Sisi Waafrika tumekuwa product ya divide and rule, na ndio maana mpaka leo mpaka kesho ukabila umejaa Kenya, Nigeria, South Africa, n.k. Sasa ndugu zetu Waarabu nawaweka kapu moja na sisi Waafrika. Matatizo yao ni kama yetu. Sisi ukabila, wao tofauti za Usunni na Ushiya. Badala ya kujiona Waarabu wanaona Usunni wao kwanza na Ushiya. Ni kama sisi. Ukabila kwanza halafu Uafrika wetu. Mpaka hapo tutakapotambua kuwa Uafrika wetu ni muhimu kuliko kabila na kwamba common enemy wetu ni hili gwanda tulilovishwa kutoka nje, i.e colonial mentality hatutaweza kuwa na mshikamano unahohitajika kujikwamua. Sijui umenielewa?
 
Dondola,

Huyu ndugu yetu Kinyikani kaanza na kusema kuwa anakubaliana na hotuba ya Botha!.... Hii inatisha sana ikiwa mmoja kati yetu anakubali jinsi tulivyochambuliwa na hata sababu za kutumaliza.

Swala la waafrika na emotional incompetence ni swala la hisia ambazo zimetokana na..... Kama alivyoeleza Jasusi.
Kisha tukubali kwamba sisi waafrika bado tupo karne nzima nyuma. Hata ukija tazama vita ya kwanza na ya pili, sisi waafrika tulipigana bila malengo kabisa. Yani Wafaransa walipigana kulinda nchi yao Waingereza, Korea na hata Wajarumani na Wa-Japanwote walikwenda vitani kwa jina la nchi zao. Sisi tuliburutwa tu na Mjarumani mara Muingereza kama vile wao walipoburutwa enzi zile za utawala wa akina Napoleon na Kaizari....

Kwa hiyo hapa kuna gap kubwa sana ambayto inahitaji sisi tusahau kwanza nje na tuanze kujisafisha wenyewe kwa kuelewa kuwa UMOJA wetu ndio ngao na nguzo yetu.

Umeyaona ya Rwanda na Burundi, leo hii hata sisi wenyewe tunasita kuwakaribisha kwa sababu tunawaona wao kama wanyama vile. Tupo radhi tukiambiwa tujiunge na OIC kuliko Wanya - Rwanda.

safari ni ndefu sana lakini sii kweli kuwa sisi nii binadamu kamili na tunastahili kutendewa maovu yote.
 
Good points Mkandara. Tunahitaji kuthamini na kuona umuhimu wa umoja wetu as a people and as Africans. Kitu kimoja ambacho nimegundua ninaposafiri ni kwamba sisi Waafrika experience zetu ni moja. Awe Mkongo, awe Mnigeria, wote tumepitia experience moja---kutawaliwa--- but we as a people, tukianza kujiona kuwa ni wamoja there is so much we can do for each other and for our countries.
 
Hao walio Chora...Dunia...
wakati-Ramani zao walichora wao wenyewe........
Sisi wa Africa tuna wafuata wao....Na tusipo wafuata wao sijui tuta enda wapi?-
Africa itabaki kua Mtoto...kwasababu tuna onekana kua wageni kwa kila jambo...!!!-Hivi kwanza wa Afrika ni watu gani?
Hili Jina Ni La Lugha Gani...???

hata hii Jamboforum ina endeshwa Kiafrica...au sijui vipi?

Jasusi-
Tatizo ni hao walio tutangulia kimaendeleo...wajanja kuliko tunavyo dhani....
Viongozi watambue-Hii misaada Tuna yo pewa pewa Ita tu ghalimu sana Katika vizazi vyetu vyote- tuangalie sana nani anatupa...
Tabia za vizi kwa viongozi..

Hivi Hili Bara Tunalo ishi sikumoja linaweza likawa na Nguvu Kama Marekani?
 
Gigo,
Hapo nakuafiki kabisa. Hakuna hata nchi moja iliyowahi kuendelea kwa kutegemea misaada. Ndiyo maana Mwalimu alibuni sera za ujamaa na kujitegemea. Hata kama hazikufaulu lakini ile haja ya kujitegemea angalau tungeiendeleza.
 
Good point

Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea misaada na wajomba kutoka nje. Wanachofanya ni kuja kusomba mali zetu na kutuacha weupe.
 
Lakin Tuna mambo Mangi ya-kufanya!!
Yatupasa tuwe pamoja...
Kuna mtu mmoja- Nilimsikia akisema-'Si Unapenda Fedha Zangu!.. basi Na mimi Unipende! kam unavyopenda fedah zangu">> haya maneno Yana choma Kimtindo..

Hata hivyo Dunia Ilipofikia Hatuwezi tena- Kujitenga!! la sivyo Tuta jitafutia Maadui wengi-
shida zipo po- Pote Duniani- Mimi naamini hivyo!!
Tufanye Kazi kwa Bidii..
Tupendane...
Tuunganishe Imani zetu..../Akili zetu.

Tushirikiane-lakini sio wote wata kao kua na madhumuni mazuri....
Tujitahidi sasa!!!!..La sivyo bara letu (litabaki/lita taka) kua Kama Jela!!

Wazee tuna hitaji Msaada wenu!! Lakini Tuheshimiane!!!
kwakua wewe ni somi Basi Unahofia sisi wengine Ni Ma- home -Less,
Hizi salaam nawapa tokea kijiweni..

Vijana wanaelekea Kuchoka-
Yaani mnahofia tukiingia madalakani tuna Wafunga Jela?
Hapana!!
Hata si si Tuta fuata Nyao zenu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom