nadhani wachezaji wa kiafrika wangewekeza juhudi zao katika soka kama wanavyokuwa busy na nywele na mapambo mengine usoni kama hereni na kujipaka rangi chini ya macho (Salomon Kalou), tungepata burdani inayostahili na soka ya afrika ingkuwa mbali sasa
bwahahahahahaha ahahahah aiseeeee......harudi tenaDadako anajua kama unatumia vibaya laptop aliyehongwa na shemeji yako?
mmeshiba mapilau mnaongea ongea tu..mbona timiu yenu ya taifa hamuikosoi...hovyoooo