Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Jamani ni lini Waafrica tutaacha kudhalilishwa katika movies? Leo nimebahatika kwenda kuangalia hii movie mpya - District 9. Imekuwa based katika jiji la Johanesburg. Kwa ujumla ni movie nzuri (good message), lakini kilichoniudhi ni roles walizopewa Waafrica. Sijaona Mwaafrika yeyote aliyekuwa katika position kubwa kwenye movie. Yani kwanza sisi ndo tumepewa role ya kuishi pembeni mwa Aliens. Na kwenye movies wanaonyesha hadi machanguduo wa kiafrica wanaofanya mapenzi na hivyo viumbe! Nilipokuwa ndani ya cinema nilitamani kutoka, hasa ukikusudia kuwa nilikuwa Mwafrika peke yangu.
Ni mpaka lini tutaendelea kuchukuwa roles za kipumbavu na za kujidhalilisha? Hii inajenga pyschological effect. Hasa ukifikiria kwa hawa wazungu waliozaliwa huku na kukulia huku, basi wanabaki na image mbovu ya Africa. Kweli inabidi tuombe wabadilishe hali hii ama sivyo tugome ku-act katika hizi movie zao za udhalilishaji.
Ni mpaka lini tutaendelea kuchukuwa roles za kipumbavu na za kujidhalilisha? Hii inajenga pyschological effect. Hasa ukifikiria kwa hawa wazungu waliozaliwa huku na kukulia huku, basi wanabaki na image mbovu ya Africa. Kweli inabidi tuombe wabadilishe hali hii ama sivyo tugome ku-act katika hizi movie zao za udhalilishaji.