GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Mtoto wangu anasoma Saint Marry, Na walimu wa pale karibu wote ni wakenya na waganda, cha ajabu sasa wanawafundisha mpaka kiswahili watz, walimpa homework ya kiswahili mtoto wangu, wakamuandikia wingi wa neno la mama=wamama, kaka=wakaka. ...kwa kweli imenishtua sana, hawa watu hawajui kiswahili, halafu ndio wanatufundisha kiswahili...hii si hatari jamani!!..wadau Great thinkers mnaionaje hii issue??