Wa tatu atasema nini?

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
12,321
11,315
☆☆ Wa kwanza alisema..."Nchi inaenda kama gari bovu".

☆☆Wa pili alisema ...."Ukiwa mpya lazima watu waone una mambo mapya, lakini mapya ya maendeleo, Sio mapya ya kubomoa ya kule tulikotoka".

Nasubiri wa tatu atasema nini!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom