BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
☆☆ Wa kwanza alisema..."Nchi inaenda kama gari bovu".
☆☆Wa pili alisema ...."Ukiwa mpya lazima watu waone una mambo mapya, lakini mapya ya maendeleo, Sio mapya ya kubomoa ya kule tulikotoka".
Nasubiri wa tatu atasema nini!!
☆☆Wa pili alisema ...."Ukiwa mpya lazima watu waone una mambo mapya, lakini mapya ya maendeleo, Sio mapya ya kubomoa ya kule tulikotoka".
Nasubiri wa tatu atasema nini!!