William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Pamoja na kwamba nipo kwenye Marathon za Ubunge wa EAC huku Dodoma, nimekuwa ninaufuatilia sana uchaguzi wa Jumuiya ya Wa-Tanzania DC Washington, lakini baada ya kufuatilia sana uwezo wa wagombea, ninasema kwamba;
Ninawaomba wananchi huko DC kumchagua Sister Loveness Mamuya, anaonekana kuwa na uwezo mkubwa sana kuliko wengine wote wanaogombea, hasa kutokana na maendeleo yake binafsi aliyoyapata huko toka afike huko DC, ni mpenda watu amewasidia wananchi wengi huko, halafu ni msomi pia na anajua sana mambo ya uchumi ndio maana ameweza kujiletea maendeleo makubwa binafsi, sasa mpeni nafasi aendeleze na kwa wengine, maana charity starts at home.
- Again, MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA WATANZANIA WOTE HUKO DC; MCHAGUENI LOVENESS MAMUYA!
William @Dodoma City!
Ninawaomba wananchi huko DC kumchagua Sister Loveness Mamuya, anaonekana kuwa na uwezo mkubwa sana kuliko wengine wote wanaogombea, hasa kutokana na maendeleo yake binafsi aliyoyapata huko toka afike huko DC, ni mpenda watu amewasidia wananchi wengi huko, halafu ni msomi pia na anajua sana mambo ya uchumi ndio maana ameweza kujiletea maendeleo makubwa binafsi, sasa mpeni nafasi aendeleze na kwa wengine, maana charity starts at home.
- Again, MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA WATANZANIA WOTE HUKO DC; MCHAGUENI LOVENESS MAMUYA!
William @Dodoma City!