Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,787
- 3,682
ile thana ya kuwa na clean hands before the court kwa mawakili now days haipooooo! mawakili wanasimamia hata kesi za kijinga ambazo sometimes zinakandamiza haki ya mnyonge tena waaaazi kabisa.kiufupi hii profsn imeingiliwa,mtu akidaka mhuri tu ye anawaza dili apige hela naye awe na mkoko mkali,tena vijana wa sasa ndio balaaaaa.