siansakala
Member
- Aug 12, 2012
- 75
- 10
Tunafungua tarehe 14-9-2012,,hawa HESLB kudadeeeeeeeki
Tunafungua tarehe 14-9-2012,,hawa HESLB kudadeeeeeeeki
Kesho wanatoa!
ndo ivo tena,,,ahsante jamaa langumwana poleni xana,kumbe ndo nyie wa 14/sept
Tunafungua tarehe 14-9-2012,,hawa HESLB kudadeeeeeeeki
kama vipi utapofika saut main campus 14/9 nipimie
week ya kwanza huwa ni orientation course ambayo huwa tuu kuonyeshwa mazingira na jinc ya kuishi chuoni then week inayofuata ndo masomo yanaanza so km nia yako ni kusubiri ela za bodi bac unaweza kusubiria hiyo week ipite coz hainaga umuhimu sn ila km unania kweli uhudhurie ht hy orientation course bac nenda na administration fee, wanaweza kukuregister huku unackilizia ela za bodi zije ili ulipie baadae, ckumbuki vzr administration fee ni how much (angalia kwny fee structure), kingine km ela unazo unaweza ukalipa ada yote tuu cio tatizo then ile ada ya bodi ikija inajiendeleza inakuwa like umelipa na ada ya semista ya pili au ya mwaka unaofatia, itategemea umelipa sh.ngap, au unaweza baadae ukaandika barua kukidai chuo ukiambatanisha vielelezo vyako, tho kurudishiwa ada huwa ni process ndefu sn.
source me mwenyewe nimemaliza saut
wanaziangalia then wanakurudishia hapo hapo, yaan anahakikisha tuu km ni kweli then unapewa hapo hapo ht humuachii, including na vyeti vingine na result slip, anakuuliza viko wapi anaangalia km ni kweli , then kule anatick kuwa kiko right then unasepamkuu samahani naomba kuuliza birth certificate wanazifanyiaga nini wanacheki tu nakukurudishia au wana kaa nazo
wanaziangalia then wanakurudishia hapo hapo, yaan anahakikisha tuu km ni kweli then unapewa hapo hapo ht humuachii, including na vyeti vingine na result slip, anakuuliza viko wapi anaangalia km ni kweli , then kule anatick kuwa kiko right then unasepa
we mchaga au????Tofauti ya SAUT na UDSM inaanzia hapo. Ingekua UDSM wanfungua kabla loan board hawajarelease majina Watu wangekua wanaplan kunji kwamba watalipaje Ada ilihali mikopo haijatoka. Wa SAUT wao washua wao washadeposit at least nusu ya ada........!!!! Nawahurumia watoto wa mkulima waliopangwa huko!!!!