Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,104
Mbaya siyo hoja yaweza boreshwa kwa kuzibwa na viaraka..tatizo isije pindukia kuwa hali tete...Hali ya wananchi wa Tanzania kila kukicha inazidi kuwa mbaya
Mbaya siyo hoja yaweza boreshwa kwa kuzibwa na viaraka..tatizo isije pindukia kuwa hali tete...Hali ya wananchi wa Tanzania kila kukicha inazidi kuwa mbaya
Zinaa ni uchafu, unaleta ufakiri na unasababisha jamii kuharibika maadiliTahadhari tuchukue tujiepushe na zinaa
Kabisa umeongea dada wanawake wanatakiwa kuwa na staraMaadili ya dini yetu hayakuacha kitu ktk maisha yote ya mwanadamu lkn tumekuwa hatuyafatilii kabisa
Kiasi tulipofikia panatosha tuamrishane mema na kukataza mabayaStara hakuna kabisa wanawake wanakwenda uchi kupita kiasi
Mafundisho ya dini yanatufundisha kuacha zinaa na kupata stara ya ndoaKiasi cha kuporomoka kwa maadili ya jamii yetu, kinashabihi jinsi tulivyoasi mafundisho ya dini
Kumuasi muumba wetu hapa duniani tutaishi maisha ya tabu akhera na kaburiniMabaya yamekithiri sana kuliko hata mema ilobaki elimu ya dini izidi kutolewa ili watoto wetu wasijewakayapitia haya mambo ya kumuasi muumba wetu
Ndoa ndoanaNdoa ni stara kubwa sana mwanamke ukiwa nayo lkn imekuwa tofauti wanawake watu hawazifatilii sheria za ndoa kabs ndoa inafungwa Leo baada ya mwez hakuna ndoa
Ndoana ya kuvulia samaki, mvuvi akivua samaki anarudi na kitoweo chake nyumbani kula na mkeNdoa ndoana
Anipe sahihisho hili siyo jukwa la ubunifu wa biashara .. tafdhali Jumaa hamisha ombi lako ktk jukwaa husika...Nataka kuanzisha miwanda kdg chakutengeneza chakula cha kuku bleed za kuku chotala,kari,kienyeji pure, Malawi, NK …… ninamtaji wa million 6
pls mwenye ideal na biashara hii naomba anipe
Mke asiyefanya kazi kama mume ni mzigo katika familiaNdoana ya kuvulia samaki, mvuvi akivua samaki anarudi na kitoweo chake nyumbani kula na mke
Familia hubebwa na mke, ndg.yangu kama hujui role ya mke nyumbani nayo ni muhimu...Mke asiyefanya kazi kama mume ni mzigo katika familia