Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
Jioni ya leo ni vzr ukaket na kupanga maisha yako upyaTausi dume ana mkia unachanua asubuhi na jioni
Jioni ya leo ni vzr ukaket na kupanga maisha yako upyaTausi dume ana mkia unachanua asubuhi na jioni
Upya wa nguo na viatu vya dukani unaweza kuwa na quality ya chini zaidi ya vitu vya wamachinga vya mtumbaJioni ya leo ni vzr ukaket na kupanga maisha yako upya
Mitumba si imepigwa marufukUpya wa nguo na viatu vya dukani unaweza kuwa na quality ya chini zaidi ya vitu vya wamachinga vya mtumba
Mtumba umepigwa marufukuUpya wa nguo na viatu vya dukani unaweza kuwa na quality ya chini zaidi ya vitu vya wamachinga vya mtumba
Marufuk kukojoa hapa jfMtumba umepigwa marufuku
Mtumba umepigwa marufuku
Marufuku kwenye nguo za ndaniMitumba si imepigwa marufuk
ok that's funnyMarufuk kukojoa hapa jf
JF wakiweka hicho kipengele tutastaajabu sana watu woteMarufuk kukojoa hapa jf
Jf hakuna chooMarufuk kukojoa hapa jf
Watu wote tufuate utaratibu kuendana na mazingiraJF wakiweka hicho kipengele tutastaajabu sana watu wote
Choo pia ni biashara kikijengwa stendiJf hakuna choo
Stendi tunalipia shs 200(mbau/bati) kwa huduma lakini ukitaka kuoga inabidi ulipie jero(500) unaoga na sabuniChoo pia ni biashara kikijengwa stendi
Au anazungumzia kagera sugarStendi utd au?
Sabuni ya ayuu au give?Stendi tunalipia shs 200(mbau/bati) kwa huduma lakini ukitaka kuoga inabidi ulipie jero(500) unaoga na sabuni
Give me a book, yani not a counterbook namaanisha daftari la mazoeziSabuni ya ayuu au give?
Mazoezi unafanyaga mkuuGive me a book, yani not a counterbook namaanisha daftari la mazoezi
Mkuu nina kitambi na manyama uzembeMazoezi unafanyaga mkuu
Uzembe sio kitu kizr Anza mazoezi nwMkuu nina kitambi na manyama uzembe
Uzembe wako kuwa na kitambi, ila kuwa na mimba ni juhudiMkuu nina kitambi na manyama uzembe