TWIZAMALLYA
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 397
- 81
- Thread starter
- #41
kali zaidi ni jamaa mmoja hivi alikuwa anakaa mwembetogwa jamaa mrefu halafu BAUNSA, infact mpaka leosijawahi kuona mtu wa namna hiyo tena. jamaa anatisha,siku ya disco alikuwa anakuja mziki hakuna wa kumzuia wala kuomba kiingilio.akikaribia mlangoni walinzi wanajifanya kuangalia kwingine kwa kumuogopa huyo jamaa.siku moja alipita bweni la lumumba east,alipita lower wing kupitia mlango wa mbele.Mimi nilikuwa kwenye cube ya kwanza lower wing halafu juu(kwenye deka).nilijikuta kichwa changu kimetizamana sambamba na mtu aliyesimama,niliruka chini nusura nivunje kiuno.