Walibya wameanza mchakato wa uhuru Kamili kwa maandamano, nasi tuna kila sababu sasa

Arafat

JF-Expert Member
Nov 17, 2009
2,581
758
Askali wa Gadhafi wameuwa raia wengine 15 huko Benghazi na kujerui kadhaa, wakati waandamanaji wakiwa mitaa kudai kungolewa kwa Gadhafi. Inasemekana ndani ya Libra makachero Uchwara wamedhibiti mawasiliano yote ikiwa na mitandao ya internet.

Gadhafi anatumia nguvu nyingi sana na silaha kali ikiwemo missile kutisha raia wa Libra, kwakutumia kikosi maalum kilicho chini ya mtoto wake Khamis Gadhafi. Mpaka sasa inasema tayari wameuwa watu 84.

Inawezekana ni nguvu hii ya Umma ambayo ipo ndani ya Jangwa la Sahara ndio imetia hofu watawala wetu na kuanza vitisho mapema, maana kutoka Libya nchni nyingine inayotawaliwa kinyume na matakwa ya raia ni Tanzania.

Tumeshuhudia kipindi ambacho Serikali ikiwa mikono mwa Wafanyabiashara wachache na kusahau raia, tumeona wakina mama wa vijiji wakiandaliwa bajaji kama ambulance huku wabunge wakilipwa fedha nyingi sana wakati wanafunzi wanaandama na kupigwa kwakukosa fedha za kujikimu.

Tumeshuhudia weaks ikiweka adharani kuwa Rais ndie anayezuia kesi kubwa za Ufisadi zisiendeshwe dhidi ya rafiki zake. Tumeshangazwa na Rais kutamka hadharani kutowajua wamiliki wa Kampuni tata ya Dowans huku vyombo vya dola vikiwa vimemzunguka. Tumetishwa na hatua ya CCM kuendelea kuwalipa na kuwapa madaraka ya bunge watu walio-ihujumu umma kupitia Richmond na Dowans. na akiwa tayari anajiandaa kuwalipa.

Tumeshuhudi wezi wa kuku wakifungwa magerezani huku wa akaunti ya EPA wakiambiwa warudishe fedha ili wasamewehe.

Sasa ni zamu yetu baada ya Libya, Mungu tusaidie Tanzania tumechoka na Utumwa.
 
The most authentic LEGITIMACY TO RULE A COUNTRY alwas rests with the people (nguvu ya umma). Unfortunately very few politicians and financiers of mean ends never realise this truth in life.

Aother BIG LEADER is soon falling of dictatorial tendencies harboured over time before new level of perfect storm fires turn south. Hakuna wa kuzuia mabadiliko ya kwele hata kwa fedha, janja za nyani za hapa na pale huwezi kitu kuzuia mabadiliko isipokua kwa kuruhusu tu KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI KUPITIA BUNGENI.
 
Natumaini tutaanza soon, maana tuna kila sababu hakuna tofauti ya Tanzania ya leo na Libya wala Egypt
 
Askali wa Gadhafi wameuwa raia wengine 15 huko Benghazi na kujerui kadhaa, wakati waandamanaji wakiwa mitaa kudai kungolewa kwa Gadhafi. Inasemekana ndani ya Libra makachero Uchwara wamedhibiti mawasiliano yote ikiwa na mitandao ya internet.

Gadhafi anatumia nguvu nyingi sana na silaha kali ikiwemo missile kutisha raia wa Libra, kwakutumia kikosi maalum kilicho chini ya mtoto wake Khamis Gadhafi. Mpaka sasa inasema tayari wameuwa watu 84.

Inawezekana ni nguvu hii ya Umma ambayo ipo ndani ya Jangwa la Sahara ndio imetia hofu watawala wetu na kuanza vitisho mapema, maana kutoka Libya nchni nyingine inayotawaliwa kinyume na matakwa ya raia ni Tanzania.

Tumeshuhudia kipindi ambacho Serikali ikiwa mikono mwa Wafanyabiashara wachache na kusahau raia, tumeona wakina mama wa vijiji wakiandaliwa bajaji kama ambulance huku wabunge wakilipwa fedha nyingi sana wakati wanafunzi wanaandama na kupigwa kwakukosa fedha za kujikimu.

Tumeshuhudia weaks ikiweka adharani kuwa Rais ndie anayezuia kesi kubwa za Ufisadi zisiendeshwe dhidi ya rafiki zake. Tumeshangazwa na Rais kutamka hadharani kutowajua wamiliki wa Kampuni tata ya Dowans huku vyombo vya dola vikiwa vimemzunguka. Tumetishwa na hatua ya CCM kuendelea kuwalipa na kuwapa madaraka ya bunge watu walio-ihujumu umma kupitia Richmond na Dowans. na akiwa tayari anajiandaa kuwalipa.

Tumeshuhudi wezi wa kuku wakifungwa magerezani huku wa akaunti ya EPA wakiambiwa warudishe fedha ili wasamewehe.

Sasa ni zamu yetu baada ya Libya, Mungu tusaidie Tanzania tumechoka na Utumwa.
Mkuu aya uliandika siku nyingi sana ila sasa hivi hali ni mbaya mara 1000000000
 
Huyu alikuwa anasifia yalitokea Libya anaweza pia kusimama na kusifia yanayoendelea hivi sasa baada ya Gaddafi kutolewa na kuuwawa....??
Yanayoendelea sasa hivi ni wale wenzao na akina CCM ambao bila ccm hakuna maisha ya bure na marais.Hawa wapo tayari kuhujumu kila kitu kwa vile hawajazoea kujitawala na kuona mwanga walizoea giza.Hembu mjiongeze kidogo. wale waliokuwa wakipewa bure na ghaddafi.Waliokuwa wakimtangaza vyema ghaddafi nje ya nchi ndio hawaoni maisha nje ya system ya ghaddafi. Hao ndio wanahujumu wengine.
 
walibya wanaishi kama mashetani sasa!
Yana mwisho tuu, magaidi na wala bure wa ghaddafi wana wisho wao.Ukifika watabaki watu majasiri wanaopeanda mwanga,uhuru wa fikra na maisha, wanaojiamini kuwa wanaweza fany kaiz halali na kula jasho yao, watu wanoamini bila giza na mchwa km wa ccm wanaweza fanya kazi bila kikomo na kufanikiwa bila kikomo cha mfumo wa ghaddafi km ccm. CCM nao hawatawaacha watu , ccm ikiondolewa. Hayatakuwa na mhali pa kujichekesha kuwa wao ni mabingwa wa siasa, sijui ilileta uhuru. Itahubiri sana siasa za "Enzi zetu". Km inavyosema sasa ENZI ZA KULA BURE MIRADI YA WAVUJA JASHO NA LEO HAKUNA KITU NA YENYEWE HAINA KITU ILA BADO INATAKA KUKAA MAHALI PA KULA KM MINYOO.
 
Yanayoendelea sasa hivi ni wale wenzao na akina CCM ambao bila ccm hakuna maisha ya bure na marais.Hawa wapo tayari kuhujumu kila kitu kwa vile hawajazoea kujitawala na kuona mwanga walizoea giza.Hembu mjiongeze kidogo. wale waliokuwa wakipewa bure na ghaddafi.Waliokuwa wakimtangaza vyema ghaddafi nje ya nchi ndio hawaoni maisha nje ya system ya ghaddafi. Hao ndio wanahujumu wengine.
Mkuu wangu ulipotea sana!! Mpaka nikahisi umechukuliwa na wasiojulikana
 
Kama hujui kitu heri ukae kimya,"eti Libya walianza kwa kumuua Gaddafi"
Nonsense...
Teh teh.Mkuu hao jamaa ndio tulio nao Africa. Hata misomi ya Africa iliyokuwa ikipewa Tende za ghaddafi,bado haijarudia akili, wanwasingizia wa libya kuwa wanamiss tende kumbe ni wao. Na ile miraia km ya CCM kule, inayounga mkono maisha yasiyo na baraka za Mungu.
 
Mkuu wangu ulipotea sana!! Mpaka nikahisi umechukuliwa na wasiojulikana

Teh teh..Mkuu ni Mungu anajua hayo tuu. Kidogo nimechoka kusikia upuuzi wa mijamaa na misomi hewa ya Africa.Inahubiri laana ya ujamaa. Ujamaa ile amri ya Mungu " Asiyefanya kazi na asile" hawaiona ni ya hovyo sana. Mccm iliyofilisi kila mradi wa wavuja jasho ktk kivuli cha ujamaa tuweke "Tuweke bakuli moja tugawane kwa usawa,ila sisi ni sawa zaidi", bila kujali wengine walitumia akili zaidi,maadili zaidi, ukweli zaidi, na nguvu na bidii zaidi wakati wao wakicheza bao. Bado hii mijamaa nimzigo ktk nchi na dunia kwa ujumla . Eti inalia Enzi zile maisha yalikuwa matamu, sasa wanavuruga kila kitu kwa vile wanajua wenye kufanya kazi,wenye akili na bidii wanafanikiwa na wanachovuna ni chao. CCM haiwezi kuwa rafiki ktk hilo wanachimba tuu kurudisha mfumo wa minyoo. Na libya ndio hivyo hivyo, walidhibiti kila taarifa, walikuwa ktk sehemu km minyoo, wakagawa hela duniani kudangnaya dunia nakulisha minyoo mingine nje ya nchi yao.Leo ndio wanakwamisha wenye kufanya kazi wasifanikiwe wasimiliki jasho yao.
 
Yanayoendelea sasa hivi ni wale wenzao na akina CCM ambao bila ccm hakuna maisha ya bure na marais.Hawa wapo tayari kuhujumu kila kitu kwa vile hawajazoea kujitawala na kuona mwanga walizoea giza.Hembu mjiongeze kidogo. wale waliokuwa wakipewa bure na ghaddafi.Waliokuwa wakimtangaza vyema ghaddafi nje ya nchi ndio hawaoni maisha nje ya system ya ghaddafi. Hao ndio wanahujumu wengine.
kwahiyo wanaoweza kuishi nje ya system ya gaddafi ndo wanaowatesa wenzao na kuwafanya watumwa??

Sema tuu ukweliii,marekani ndio imewahujumu watu wa libya,na hiki ndicho walichokitaka
 
kwahiyo wanaoweza kuishi nje ya system ya gaddafi ndo wanaowatesa wenzao na kuwafanya watumwa??

Sema tuu ukweliii,marekani ndio imewahujumu watu wa libya,na hiki ndicho walichokitaka
Unageuza nilichosema ili uendelee kupata cha kuandika. Wewe ccm wanaweza ishi nje ya ccm?CCM si ndio wapo busy kabisa kuchukia upinzani kuupondaponda km vile ni kitu kibaya sana. CCM ndio wanalia sana mfumo wa bure kufa na mshirika ya umma ambayo yalikuwa njia yao ya kupata laji wa bure. Sector binafsi sio kitu ccm wanataka kwa vile hawatapata upendeleo km wanaoweza pata kwa kurudi ccm. Ndivyo hivyo wafuasi wa ghaddafi na maafisa wa usalama wa enzi zile ndio hawapati fikra kuishi nje ya dezo.
 
Yanayoendelea sasa hivi ni wale wenzao na akina CCM ambao bila ccm hakuna maisha ya bure na marais.Hawa wapo tayari kuhujumu kila kitu kwa vile hawajazoea kujitawala na kuona mwanga walizoea giza.Hembu mjiongeze kidogo. wale waliokuwa wakipewa bure na ghaddafi.Waliokuwa wakimtangaza vyema ghaddafi nje ya nchi ndio hawaoni maisha nje ya system ya ghaddafi. Hao ndio wanahujumu wengine.

Mkuu karibu jamvini, siku hizi mtu ukipotea hapa JF tunakuwa na mashaka sana.. All in all karibu tupambane na akili za kijamaa kwenye dunia ya kibepari...
 
Malofa chadema ndio wanataka na Tanzania tuishi kama Libya??
Kwa akili yako ya laana ya ujamaa ni ngumu sana kuelewa, nyie ni wale mna haki tuu kwa vile watu wema ndio wanawapigania na hivyo hata mkiwasaliti hawana madhara kwenu. Huna tofauti na yule mlevi ktk movie ya adventure of tin tin, aliyewasha moto mtumbwi ili aote moto.Km vile baridi ni mbaya kuliko kuzama baharini. Ndio maana enzi ya zile Mungu aliwapunguza kwa magahrika na majanga.
 
Back
Top Bottom