ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
Mie bado nina heshima,!
Ni kweli wadada wa jf hawachakachuliwi?!! ....... au wanajinadi!
heshima yangu haijachakachuliwa.lol
Mie bado nina heshima,!
heshima yangu haijachakachuliwa.lol
sasa Fidel kwa kuwa umeanza karisach,embu malizia kwa kutueleza ladha inakuwaje kwa wanaoingia chumvini kwenye K iliyotiwa huo mkuyati?
sasa Fidel kwa kuwa umeanza karisach,embu malizia kwa kutueleza ladha inakuwaje kwa wanaoingia chumvini kwenye K iliyotiwa huo mkuyati?
Hii kitu sasa hivi imeshika kasi sana.
Wadada wengi sasa hivi wanachangamkia dawa wao wanaita ni ya kurudisha heshima.
Ni dawa za kurudisha uke na kuufanya uwe mdogo mtindo wa bikra.
Zamani tulizoea kusikia dada anakamulia ndimu au limao lakini siku hizi tofauti kabisa.
Jana nilikuwa nimepozi na jamaa angu najua anafanya biashara ya vipodozi nilikuwa sijui kama anauza na dawa za kurudisha heshima, alikuwa anaongea na dada mmoja kuhusu dawa za kurudisha heshima mm nilikuwa sijawaelewa baadae nikapewa shule na jamaa akanambia sasa hivi anapiga sana dili hizo dawa zipo katika mfumo wa sabuni wao wanaita shabu dada akisafishia uke basi unarudi katika hali ya ubikra akikutana na mwanaume huyo mwanaume anakuta mnato na jamaa anaweza fika bei kabisa ya kuweka ndani awe anapika na kupakua.
Madhara ya hii dawa ya kurudisha heshima.
Kama mjuavyo hakuna kitu kizuri kisicho kuwa na madhara. Madhara ya hizi dawa za kurudisha heshima ni kubwa kuliko faida ya kumburudisha mwanaume, mdada akisha anza kutumia basi uke wake unakuwa na maji maji mengi sana yule dada aliye kuwa analonga na jamaa angu alisema anashuhudia wadada wengine wanalazimika kuvaa pedi kutokana na maji maji kutoka ukeni. Pili utamu wa uke unapungua unakuwa katika hali isiyokuwa ya kawaida kutokana na kuwa na maji maji mengi mfano mdada akionana na mwanaume kwa siku ya kwanza huyo mwanaume anaweza hisi umetoka kufanywa ndo ukaenda kwake kutokana na uke kulegea. Katika hali hiyo inamfanya mdada aendelee kutumia hizo sabuni kurudisha uke katika hali ya mnato.
Sishauri wa dada mtumie dawa ya kurudisha heshima wengi wanaachika kimya kimya baada ya mwanaume kuona uke hauna mvuto upo ndembe ndembe. Nawakilisha.
kwa kada hiyo yale madhara yanahamia kwa mdomo. unakua mdogo na chapachapa. hujauliza kuhusu chochote kiingiacho hapo, nacho kinapata ze same madhara
source : fidel80 & king'asti, 2011, manzese darajani havard branch
Ni kweli wadada wa jf hawachakachuliwi?!! ....... au wanajinadi!
Nimemsomama mama D vizuri japo cjajua ni nchi gani au mkoa gani huko!maana hiyo mila yao inaenda na wakati.Sasa uwe makini na wale watu wa kule kwa mama D, umeskia??
Ni kweli wadada wa jf hawachakachuliwi?!! ....... au wanajinadi!
tahadhari,chukua hatua!
Nadhani ishu hapo sio kuchakachukuliwa, ishu ni je bado iko taiti? Nadhani wanamaanisha zao bado fit.
Kwa hiyo wewe una uhakika wako kibiashara hadi utumie neno kujinadi??
zimeshachakachuliwa lkn cyo sana! ndio waseme hivyo. vp ww je?
Tutapona kweli na kansa ya shingo ya kizazi, shetani ashindwe kabisa kudanganya wanawake!
Tatizo nikikwambia iko taiti utaniambia najinadi...sijui nikwambie nini maana ndio ukweli wenyewe
Naomba kijineno badala y hilo nililo2mia mana nauhakika wameshachakachuliwa na wao wanasema bado!