Wa dada na dawa ya kurudisha heshima

kwa kada hiyo yale madhara yanahamia kwa mdomo. unakua mdogo na chapachapa. hujauliza kuhusu chochote kiingiacho hapo, nacho kinapata ze same madhara
source : fidel80 & king'asti, 2011, manzese darajani havard branch
sasa Fidel kwa kuwa umeanza karisach,embu malizia kwa kutueleza ladha inakuwaje kwa wanaoingia chumvini kwenye K iliyotiwa huo mkuyati?
 
Hii kitu sasa hivi imeshika kasi sana.
Wadada wengi sasa hivi wanachangamkia dawa wao wanaita ni ya kurudisha heshima.
Ni dawa za kurudisha uke na kuufanya uwe mdogo mtindo wa bikra.
Zamani tulizoea kusikia dada anakamulia ndimu au limao lakini siku hizi tofauti kabisa.
Jana nilikuwa nimepozi na jamaa angu najua anafanya biashara ya vipodozi nilikuwa sijui kama anauza na dawa za kurudisha heshima, alikuwa anaongea na dada mmoja kuhusu dawa za kurudisha heshima mm nilikuwa sijawaelewa baadae nikapewa shule na jamaa akanambia sasa hivi anapiga sana dili hizo dawa zipo katika mfumo wa sabuni wao wanaita shabu dada akisafishia uke basi unarudi katika hali ya ubikra akikutana na mwanaume huyo mwanaume anakuta mnato na jamaa anaweza fika bei kabisa ya kuweka ndani awe anapika na kupakua.

Madhara ya hii dawa ya kurudisha heshima.
Kama mjuavyo hakuna kitu kizuri kisicho kuwa na madhara. Madhara ya hizi dawa za kurudisha heshima ni kubwa kuliko faida ya kumburudisha mwanaume, mdada akisha anza kutumia basi uke wake unakuwa na maji maji mengi sana yule dada aliye kuwa analonga na jamaa angu alisema anashuhudia wadada wengine wanalazimika kuvaa pedi kutokana na maji maji kutoka ukeni. Pili utamu wa uke unapungua unakuwa katika hali isiyokuwa ya kawaida kutokana na kuwa na maji maji mengi mfano mdada akionana na mwanaume kwa siku ya kwanza huyo mwanaume anaweza hisi umetoka kufanywa ndo ukaenda kwake kutokana na uke kulegea. Katika hali hiyo inamfanya mdada aendelee kutumia hizo sabuni kurudisha uke katika hali ya mnato.
Sishauri wa dada mtumie dawa ya kurudisha heshima wengi wanaachika kimya kimya baada ya mwanaume kuona uke hauna mvuto upo ndembe ndembe. Nawakilisha.

teh teh, eti ndembe ndembe! Take women as they are, kamwe hawatahangaika kutafuta ubikira ulokwisha potea!
 
kwa kada hiyo yale madhara yanahamia kwa mdomo. unakua mdogo na chapachapa. hujauliza kuhusu chochote kiingiacho hapo, nacho kinapata ze same madhara
source : fidel80 & king'asti, 2011, manzese darajani havard branch

tahadhari,chukua hatua!
 
Tutapona kweli na kansa ya shingo ya kizazi, shetani ashindwe kabisa kudanganya wanawake!
 
sasa demu aweke iyo midawa yao kisha mnato alafu akutane na mwanaume amekuala ile midawa ya kichina kitu kubwa kama mkono wa mtoto, puuuuuu vitu vinabasti
 
Tutapona kweli na kansa ya shingo ya kizazi, shetani ashindwe kabisa kudanganya wanawake!

Ndo hapo sasa kweli wanaume wanawatesa sana wanawake yaani yote haya ili mwanaume aridhike
 
Tatizo nikikwambia iko taiti utaniambia najinadi...sijui nikwambie nini maana ndio ukweli wenyewe

Bora kama unakamulia ndimu.
Sasa inategemea ipo taiti kwa mwenye kibamia au kwa mwenye hogo kama la mguu wa mtoto wa miaka 5?
 
Back
Top Bottom