Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Si aje janvin le mutuz ajibu tuhuma
umesoma vizuri post zilizotangulia?!, huoni kama muuuuuuuutttttttttuuuuuuuuuuuziiiiiiiii kajibu?!.
Si aje janvin le mutuz ajibu tuhuma
s. Banji ni mbunge wa afrika mashariki. Kifutu wiliam malecela ni ombaomba mzoefu hapa jijini dar.. Ni mpga mizinga maarufu usiombe ufahamiane naye
Usipopigwa BAN wewe mi naandamana​william hajatangaza rasmi jinsia aliyonayo
aise nimeipenda hii.- utalia kila kona ya dunia, nimekwambia shida yako kuwa na boyfriend mtoto wa kiongozi mbona wapo sana facebook kwani ilikuwa lazima niwe mimi tu, watu wanaokujua walinionya mapema na ninamshukuru sana mungu kwamba nilikuwacha mapema sana, mtumzima elimu kubwa lakini kichwani wadudu, pole sana imetoka hiyo tafuta wengine!! Utalia kila mtandao, utawaaandikia wasichana wote wanaonijua, utawapigia sim wasichana wote duniani lakini sina mpango wa kukurudia, kama siku ile city sports lounge uliona nilikupita kama sijawahi kukuona, maaana sijawahi kuwa na mwanamke wa namna yako before!!
Siku njema nipo obey saa izi nafganyisha fungraising ya kusaidia watoto wa yatima dodoma, kuacha kazi zangu mbali mbali ninazofaanya hapa mjini waulize wanaojua vizuri bisahara ya blogs wakwambia ninakusanya hela ngapi kw asiku toka kwenye ads tu!! Pole sana!!
- next time ukipata mwanaume kwua na heshima naye, utapendwa sio kunywa mipombe kama unaytaka kufa!!
Le biig shoow!!
- utalia kila kona ya dunia, nimekwambia shida yako kuwa na boyfriend mtoto wa kiongozi mbona wapo sana facebook kwani ilikuwa lazima niwe mimi tu, watu wanaokujua walinionya mapema na ninamshukuru sana mungu kwamba nilikuwacha mapema sana, mtumzima elimu kubwa lakini kichwani wadudu, pole sana imetoka hiyo tafuta wengine!! Utalia kila mtandao, utawaaandikia wasichana wote wanaonijua, utawapigia sim wasichana wote duniani lakini sina mpango wa kukurudia, kama siku ile city sports lounge uliona nilikupita kama sijawahi kukuona, maaana sijawahi kuwa na mwanamke wa namna yako before!!
Siku njema nipo obey saa izi nafganyisha fungraising ya kusaidia watoto wa yatima dodoma, kuacha kazi zangu mbali mbali ninazofaanya hapa mjini waulize wanaojua vizuri bisahara ya blogs wakwambia ninakusanya hela ngapi kw asiku toka kwenye ads tu!! Pole sana!!
- next time ukipata mwanaume kwua na heshima naye, utapendwa sio kunywa mipombe kama unaytaka kufa!!
Le biig shoow!!
Le mutuz naona umemfungukia nungayembe huyu maana amezidi wewe mwanzoni si alitaka wazungu hehehehhehe- utalia kila kona ya dunia, nimekwambia shida yako kuwa na boyfriend mtoto wa kiongozi mbona wapo sana facebook kwani ilikuwa lazima niwe mimi tu, watu wanaokujua walinionya mapema na ninamshukuru sana mungu kwamba nilikuwacha mapema sana, mtumzima elimu kubwa lakini kichwani wadudu, pole sana imetoka hiyo tafuta wengine!! Utalia kila mtandao, utawaaandikia wasichana wote wanaonijua, utawapigia sim wasichana wote duniani lakini sina mpango wa kukurudia, kama siku ile city sports lounge uliona nilikupita kama sijawahi kukuona, maaana sijawahi kuwa na mwanamke wa namna yako before!!
Siku njema nipo obey saa izi nafganyisha fungraising ya kusaidia watoto wa yatima dodoma, kuacha kazi zangu mbali mbali ninazofaanya hapa mjini waulize wanaojua vizuri bisahara ya blogs wakwambia ninakusanya hela ngapi kw asiku toka kwenye ads tu!! Pole sana!!
- next time ukipata mwanaume kwua na heshima naye, utapendwa sio kunywa mipombe kama unaytaka kufa!!
Le biig shoow!!
- hA! HA! HA! HA! HA! UNANIVUNJA M,VUU SANA MKUU!! HA! HA! HA!
BIIG SHOOW!!
Majibu ya W J C Malecela yanaonyesha ni jinsi gani alivyo kama anavyosimuliwa na wana jamvi. Maana mitusi anayorusha tena kuhusiana na mambo binafsi ni ushahidi kuwa hafai kisiasa kijana huyu hata kama ni mtoto wa mkubwa. Kweli jamaa ni gamba la kutupwa. Sioni lugha ya kiongozi kwenye maandishi yake. Mwanangu badilika. Umeishi nje tena jijini New York lakini mambo yako utadhani imetoka leo Mvumi! Jirekebishe mwanangu hata kama una jina kubwa. Ukubwa wa jina si ukubwa wa sifa.
Watching their EA MP Candidacy plea clip I should admit you can't compare those two. When shy-Rose speaking she sound so mature and confidante than William and she did answer question very well . Compare her with William Malecela is such a waste of space since she is far better and their no comparison between them.
ni kumdhalilisha sana SHYROSE kumfananisha na uyu mtoto.
- Kumlinganisha na nini? ha1 ha! ha!
Es!!