- Great Thinker, unajua kwamba Mpendazoe sio mkazi wa Segerea aliamua tu baada kujibanza pale ili agombee ubunge, otherwise kwani sheria ya jamhuri inasema nini on this ishu? Maana sometimes tuwe tunajadili na facts zaidi!
William @Dodoma City!
Acha dharau unaposema aliamua kujibanza, waTz wengi wanishi kama anavyoishi Mpendazoe, kujibanza ndiyo hapo ilipotufikisha CCM, wewe unafaidika na mfumo wa CCM ndiyo maana unaongea kuwa Mpendazoe anajibanza. Mwanzoni nilidhani kuwa busara ipo kumbe ni walewale tu tofauti ni majina