Jamani naombeni mnisaidie vyuo vya kilimo na mifugo jinsi ya kuapply,na kama vipo vya private karo zao nishilingi ngapi? Naombeni msahada kwa hilo wakuu.
Jamani naombeni mnisaidie vyuo vya kilimo na mifugo jinsi ya kuapply,na kama vipo vya private karo zao nishilingi ngapi? Naombeni msahada kwa hilo wakuu.
Mbona wako kimya sana?
Kilimo kwa serikali ni 200000, mifugo 400000, uvuvi 750000. Nenda wizarani najua wametangaza sahizi uangalie utaratibu kama haujabadirika hasa kwa ada.
Pia kama umefaulu masomo ya wanaume kama Physics, Chemistry, maths au bios angalau kwa D mbili tu nenda Chuo cha maji pale ubungo wanachukua watu wa Diploma ambao wamemaliza f4 tu.
Angalia, deadline tarehe 15
Ndiyo unapata subir nacte wafungue CAS uombeJaman naomba kuuliza Nina physicsD.chemiaD.bios C.englishD.naweza kupata vyuo vya kilimo na mifugo vya serikali
Kwan sayansi form four imekajenaomba niulize namimi wadau,nina mtu ambaye ana diploma ya masomo ya biashara kwa sababu ya mkakati maalumu anataka kusomea mifugo,na hajasoma masomo ya sayansi advance je anawezapata nafasi kwenye vyuo vya mifugo kwa udahili binafsi?
Alisoma Biology, tu kwa masomo ya sayansiKwan sayansi form four imekaje