Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Wakuu,kumbe hapa bongo hakuna chuo chochote kinachofundisha ICT kwa distance learning.Hii si itasanbabisha maendeleo ya ICT kutofikiwa haraka tz
Au labda mimi sijui,lakini watu wengine niliowauliza wanasema tanzania hakuna chuo kinacghotoa mafunzo hayo.(kusoma kwa kuelewa na kwa ajili ya ajira)
Au labda mimi sijui,lakini watu wengine niliowauliza wanasema tanzania hakuna chuo kinacghotoa mafunzo hayo.(kusoma kwa kuelewa na kwa ajili ya ajira)