Vyuo Vikuu vingi Tanzania havina sifa- TCU

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,710
2,226
[h=2][/h] Na Mwinyi Sadallah

11th March 2012






Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania, (TCU) imesema iwapo itasimamia ipasavyo sheria yake Vyuo Vikuu vya Tanzania vitalazimika kufungwa kutokana na kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri.
Tamko hilo limetolewa na Mkurugenzi wa Ithibati wa Tume hiyo, Dk Christine Hongoke, alipokuwa akizungumza na Kamati ya Maendeleo ya Wanawake na Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi Makao Makuu ya Tume hiyo jijini Dar es Salaam.
Alisema kwamba TCU imebaini kuwa kuna upungufu mkubwa wa wahadhiri wenye sifa za kufundisha katika vyuo vikuu hapa nchini jambo ambalo ni kinyume na sheria.
Alisema kwamba Vyuo Vikuu vya Tanzania vimekuwa vikinyang’anyana wahadhiri na kulazimika kuwatumia kwa zamu kufundisha wanafunzi kati ya Tanzania Bara na Zanzibar.
Hata hivyo, alisema kwamba Serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa kushirikiana na Serikali ya Ujerumani imeanzisha utaratibu wa kusomesha wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya umma kwa kushirikiana na Shirika la DAAD la Ujerumani.
Alisema kwamba Ujerumani imekuwa ikitoa nafasi za masomo (Skolashp) ngazi ya Shahada ya Uzamili mpango ambao ulianza utekelezaji wake mwaka 2009.
Hata hivyo, alisema pamoja na Ujerumani kutoa hofa ya nafasi 20 za masomo ya ngazi ya shahada fursa hiyo haitumiwi ipasavyo kutokana Tanzania kushindwa kupeleka wanafunzi.
Akitoa mfano, Dk. Hangoke alisema mwaka jana Tanzania ilipeleka watu sita kati ya nafasi 20 kutokana na wahadhiri kutojitokeza kuomba nafasi hizo.
Dk Hangoke, alisema kwamba tangu kuanza mpango huo tayari wahadhiri 32 kutoka vyuo vikuu vya umma wamenufaika na mpango huo wa kusomeshwa nje ya nchi.
Alisema kwamba tangu kuazishwa kwa TCU jumla ya vyuo vikuu 26 vimesajiliwa vikiwemo vyuo vikuu vishiriki Tanzania.

MY TAKE
Kama havina sifa na mkuu unaendelea kuwepo kwenye icho kiti huoni kuna haja ya wewe kujiuzulu bse unalea ubovu huo wa kuwa na uhaba wa wahadhili na no penalties
Upande wa pili izo scolarships mngekuwa mnazitangaza kuna vijana wengi wako tayari kwenda kusoma tatizo mnakaa nazo kwenye mafile yenu mkingoja wanenu na ndugu zenu waende soma
 
kuna chuo kinaitwa Tanzania Institute of Project Management kipo kinondoni,kina wahadhiri wawili tu,ila kinatoa hadi masters na tcu wanaangalia tu.
 
Na Mwinyi Sadallah

11th March 2012






Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania, (TCU) imesema iwapo itasimamia ipasavyo sheria yake Vyuo Vikuu vya Tanzania vitalazimika kufungwa kutokana na kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri.
Tamko hilo limetolewa na Mkurugenzi wa Ithibati wa Tume hiyo, Dk Christine Hongoke, alipokuwa akizungumza na Kamati ya Maendeleo ya Wanawake na Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi Makao Makuu ya Tume hiyo jijini Dar es Salaam.
Alisema kwamba TCU imebaini kuwa kuna upungufu mkubwa wa wahadhiri wenye sifa za kufundisha katika vyuo vikuu hapa nchini jambo ambalo ni kinyume na sheria.
Alisema kwamba Vyuo Vikuu vya Tanzania vimekuwa vikinyang'anyana wahadhiri na kulazimika kuwatumia kwa zamu kufundisha wanafunzi kati ya Tanzania Bara na Zanzibar.
Hata hivyo, alisema kwamba Serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa kushirikiana na Serikali ya Ujerumani imeanzisha utaratibu wa kusomesha wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya umma kwa kushirikiana na Shirika la DAAD la Ujerumani.
Alisema kwamba Ujerumani imekuwa ikitoa nafasi za masomo (Skolashp) ngazi ya Shahada ya Uzamili mpango ambao ulianza utekelezaji wake mwaka 2009.
Hata hivyo, alisema pamoja na Ujerumani kutoa hofa ya nafasi 20 za masomo ya ngazi ya shahada fursa hiyo haitumiwi ipasavyo kutokana Tanzania kushindwa kupeleka wanafunzi.
Akitoa mfano, Dk. Hangoke alisema mwaka jana Tanzania ilipeleka watu sita kati ya nafasi 20 kutokana na wahadhiri kutojitokeza kuomba nafasi hizo.
Dk Hangoke, alisema kwamba tangu kuanza mpango huo tayari wahadhiri 32 kutoka vyuo vikuu vya umma wamenufaika na mpango huo wa kusomeshwa nje ya nchi.
Alisema kwamba tangu kuazishwa kwa TCU jumla ya vyuo vikuu 26 vimesajiliwa vikiwemo vyuo vikuu vishiriki Tanzania.

MY TAKE
Kama havina sifa na mkuu unaendelea kuwepo kwenye icho kiti huoni kuna haja ya wewe kujiuzulu bse unalea ubovu huo wa kuwa na uhaba wa wahadhili na no penalties
Upande wa pili izo scolarships mngekuwa mnazitangaza kuna vijana wengi wako tayari kwenda kusoma tatizo mnakaa nazo kwenye mafile yenu mkingoja wanenu na ndugu zenu waende soma

sharti la kusajiri chuo lazima mambo kadha yafuatwe kama:- wahadhiri,vitabu,mazingira na nk.Sasa kama hayo mambo hakuna na mengineyo basihapo kuna tatizo labda rushwa au uzembe wa ufuatiliaji.Na kodi wanayolipa serikalini mmnachukua bure.Fungeni tuanze upya.
 
sharti la kusajiri chuo lazima mambo kadha yafuatwe kama:- wahadhiri,vitabu,mazingira na nk.Sasa kama hayo mambo hakuna na mengineyo basihapo kuna tatizo labda rushwa au uzembe wa ufuatiliaji.Na kodi wanayolipa serikalini mmnachukua bure.Fungeni tuanze upya.

Hakuna haja ya kuacha chuo ambacho hakikidhi matakwa ya watanzania.
TUnahamishia UPE katika University level, na wakuu wanaangalia tu.
 
Na Mwinyi Sadallah



11th March 2012


MY TAKE
Kama havina sifa na mkuu unaendelea kuwepo kwenye icho kiti huoni kuna haja ya wewe kujiuzulu bse unalea ubovu huo wa kuwa na uhaba wa wahadhili na no penalties
Upande wa pili izo scolarships mngekuwa mnazitangaza kuna vijana wengi wako tayari kwenda kusoma tatizo mnakaa nazo kwenye mafile yenu mkingoja wanenu na ndugu zenu waende soma

Shame on her face, saying that Tanzanians did not apply!
She should inform us as well as to when and where it was advertised.
This is shameful statement from the Director.
Watanzania.... kila kitu kwetu ni kimyume kabisa.
 
Kuna jamaa zangu kama watatu wanasaka PHD kwa udi na uvumba alafu huyu mtu mzima anasema PHD opportunities zinakuwa wasted.Next time zitupe umu JF uone kama kutakuwa nafasi itakayokuwa wasted!
Ivi unajua tungekuwa serious iyo statement tayari uyo jamaa angekuwa kapigwa chini.
Ila anajua serikali legelege haiwezi mpiga chini
 
Back
Top Bottom