Vyuo vikuu mnatia aibu kwani mnaonyesha mlivyo mbumbumbu kwa hili

Nasikitishwa sana na baadhi ya vyuo vikuu hapa nchini, kwani ili mwanafunzi ayaone matokeao yake ya mitihani inampasa afunge safari toka hukoooo aliko hadi kwenye notice-board ya chuo. La ajabu vyuo hivyo vina Vitivo vya kompyuta au walimu wa komputa lakini hawana ujuzi wa kuweka matangazo ya matokeo ya mitihani yao ktk Tovuti zao!!!!!

Pia tovuti zao haziko 'Up-to-date'.

Wewe kitaje tu kuwa ni Muslim University- Morogoro.
UDSM wana ARIS, UDOM pia wana ARIS, Tumaini Iringa nao wana yakwao sijui wanaiitaje, St. Augustine nao hivyo hivyo.
 
Ata baadhi ya college za SAUT ni ****** mtupu...yani web site zao zina dead link yani unafungua matokeo ya Law yanayofunguka ni Education na apo apo wanafundisha IT....
 
Nasikitishwa sana na baadhi ya vyuo vikuu hapa nchini, kwani ili mwanafunzi ayaone matokeao yake ya mitihani inampasa afunge safari toka hukoooo aliko hadi kwenye notice-board ya chuo. La ajabu vyuo hivyo vina Vitivo vya kompyuta au walimu wa komputa lakini hawana ujuzi wa kuweka matangazo ya matokeo ya mitihani yao ktk Tovuti zao!!!!!

Pia tovuti zao haziko 'Up-to-date'.

Acha unafiki mkuuu, huu ni mtandao wa watu wasiokuwa na majungu!!! wewe kuwa muwazi kuwa ni CHUO CHA SUA!!!!
 
Nasikitishwa sana na baadhi ya vyuo vikuu hapa nchini, kwani ili mwanafunzi ayaone matokeao yake ya mitihani inampasa afunge safari toka hukoooo aliko hadi kwenye notice-board ya chuo. La ajabu vyuo hivyo vina Vitivo vya kompyuta au walimu wa komputa lakini hawana ujuzi wa kuweka matangazo ya matokeo ya mitihani yao ktk Tovuti zao!!!!!Pia tovuti zao haziko 'Up-to-date'.
Hata vyuo vya kata wanatazama matokeo yao kwenye mtandao vitakuwa vyuo vya hotel management na utalii
 
ifm nasikia wana account kama jf hadi picha unaupload kidogo wao watakuwa wameendelea kwenye hilo..
 
Back
Top Bottom