Vyuo vikuu kama shule za kata

...Inawezekana kwa kiasi fulani vyuo vyetu vikuu vikafanana na shule za kata. Hata hivyo, kufanana kwake kunakwenda mbali zaidi kutokana na ukweli kwamba:

  1. Vyuo hivyo vimegeuzwa kuwa vituo vya upigaji wa siasa badala ya kuandaa wataalamu wenye maarifa, ujuzi na maadili ya kitaaluma katika kuleta maendeleo;
  2. Vyuo vikuu vinatumika kwa maslahi ya maprofesa waliyesoma zamani kwa kupata fursa adimu za kusoma elimu toshelezi na si ya kuungaunga kama wanayopata walimu wa siku hizi;
  3. Maprofesa wamekuwa wakikimbizana na siasa badala ya kufundisha, kutafiti na kutoa huduma za ushauri elekezi kwa umma na wananfunzi ili kuwajengea uwezo wa kitaaluma; na
  4. Vyuo vikuu vingi vimefanywa kuwa vituo vya kueneza propaganda badala ya kukuza maarifa na uwezo wa wanafunzi kukosoa na kujenga hoja zenye akili.
Kwa ujumla, vyuo vyetu vimekuwa vya kisiasa mno na vimepoteza muelekeo wa kimapinduzi katika kujenga jukwaa la ukombozi wa wasomi na hatimaye kuleta maendeleo ya watu na vitu. Siasa imechukuwa nafasi kubwa na wanafunzi wamegeuzwa mradi wa wanasiasa - badala ya kuwa vyuo vikuu sasa vinafanana na shule za kawaida - kama kilivyo Chuo Kikuu Dodoma!
 
Kutoka kwa wachangiaji kuna hoja mbili pingamizi
1. Tuwe na vyuo watu waende chuo bila kujali kiwango cha elimu
2. Tunahitaji wasomi wa vyuo vikuu wapikwe waive.

Kwa kweli hoja namba moja ni kuogopwa kama ukoma. Yaani tudilute elimu ili tuwe na numbers?



Mlimani ya miaka ya sabini ilikuwa kitovu cha elimu, watu wanasoma na kuelimika. Msomi kama ku-challenge na kuelezea your side of teh story huwezi ni kufanya ni upuuzi mtupu.

Nasubiri nione hizo voda faster za UDOM

Wake up guys!

Hao wasomi wa miaka ya sabini
Si ndio hao ma prof wanakimbilia siasa mnaowalaumu, hao wa miaka ya sitini na sabini ndio akina JK, Lowasa, Mkandara, Hosea n.k Ndo hao walielimika sana kuzidi watakaotoka UDOM? Mnachonishangaza zaidi mnafikiri kuelimika ni majengo ama komputer nyingi darasani???

Kuelimika ni mtu mwenyewe binafsi anaamua kuelimika. Enzi zile za sabini yes nitakubaliana nawe kwa asilimia kadhaa kwamba elimu iliendana na majengo pamoja nawashika chaki. Elimu ya chuo kikuu unaonyeshwa tu huwa kuna topic hii na ile mengine kazi kwako. Sina uhakika sana nafikiri mchango wa mwalimu hauzidi 20%.

Na hiyo 20% ndo hizo slides anakuonyesha hua kuna topic hii. Kumbuka hufundishwi unaonyeswa kuna topic hii na anai peruzi haraka haraka.
 
Ukistaajabu ya Musa...

Pale kwenye makutano barabara ya Morogoro na Bibititi kuna bango kubwa, kati ya mengi ya kampeni za CCM, linalosema "UDOM fahari ya CCM. Chagua CCM, chagua Kikwete"

Upumbavu mtupu.
 
Ukistaajabu ya Musa...

Pale kwenye makutano barabara ya Morogoro na Bibititi kuna bango kubwa, kati ya mengi ya kampeni za CCM, linalosema "UDOM fahari ya CCM. Chagua CCM, chagua Kikwete"

Upumbavu mtupu.


Swali: Kwa maana hiyo waliopo ktk hivi vyuo wanapoteza muda ama inakuwaje? Manake wakigraduate kukitokea ajira waliosoma nje ndo wanapendelewa
 
Kwa nini watanzania hawataki kuongelea mambo ya msingi kwa undani. Mfano elimu ya chuo kikuu leo inafanana na ya shule za kata. wakubwa wanatamba majukwani wameanzisha vyuo vikuu vingi kama UDOM. lakini hawaoni matatizo yaliyopo kwenye vyuo hivyo.
Hakuna vifaa,Hakuna Maprofesa,majengo hayatoshi. Watu wenye Masters ndio walimu ambao nao wamesoma kwa kuunga unga tu. vyuo vikuu vya namna hii vitatufikisha wapi.

Mtoto kafaulu kwa kubahatisha darasa la saba halafu kaenda shule ya kata kafaulu kwa kukairiri kaenda chuo kikuu UDOM. Hapa kweli tutasema tumezalisha msomi wa kuiomboa nchi hii katika ulimwengu huu wa utandawzi, soko la pamoja nk. Tanzania inaelekea pabaya. lakini viongozi wetu wanafurahia sifa rahisi rahisi. Wanchi nao wamelewa fikra za kipumavu za zidumu fikra za mwenyekiti. Taifa hili linahitaji mwelekeo mpya . we are in wrong boat and wrong direction.

Ndugu Mweongo, binafsi nashukuru sana kwa post yako, Lakini Ndugu mwaongo na wana JF wengine naomba tukiondoa political interests zozote zile, lazima tukubaliane kwamba currently taifa letu linakabiliwa na upungufu mkubwa wa vyuo vikuu kwa ajili ya ku cop na idadi kubwa ya vijana wanaomaliza kidato cha sita na vyuo vya ngazi ya kati, upungufu huu unaonakana pia kwa kulinganisha na nchi nyenzetu za afrika ya mashariki.

Ndugu Mweongo na fellow Jf members, lazima tukubaliane kwamba suluhu ya tatizo hili ni kutanua vyuo vilivyopo na/au kujenga vyuo vipya. Ni muhimu tutambue pia kuwa solutions zote hizi zinaambatana na uhitaji mkubwa wa wanataaluma na vifaa vya kufundishia. Ndugu JF members tukumbuke kuwa hakuna chuo duniani kote kunakofundishwa ualimu wa chuo kikuu, hivyo basi, waalimu hawa hupatikana kwa kuajili watu wenye taaluma husika katika ngazi mbalimbali na kisha huendelezwa ili kupata ujuzi wa kuwa wanataaluma mahiri, uendelezwaji huu ni pamoja na kusoma masters na PhD, pamoja na mentoring from existing professors katika aspects mbalimbali za uanataaluma.

University of Dodoma haijafanya tofauti na hilo, kwa kuwa wameajili watu wa ngazi mbalimbali, na mwaka jana vijana zaidi ya 120 walikwenda kusoma masters na wengine wengi PhD, wakati huohuo kuna part time professors na senior lecturers. Kwa hiyo lazima tukubali kuwa mambo yanajengwa taratibu na baada ya muda mfupi kila kitu kitakuwa sawa, na hatuna shortcut. Kama wewe unazosifa omba tu uje utoe mchango wako kwa manufaa ya watanzania wenzako.
 
Kuna sister alisoma na sister wangu SUA akamaliza BSc ya food science. Mwaka uliofuata akaajiriwa na Tumaini University pale KCMC kama mwalimu, alikuwa anafundisha kozi ya masters, watu wenye elimu na uzoefu zaidi yake, na tena anawapa assignment na kuzisahihisha. Hadi nikajiuliza hii masters anayofundisha huyu dada ni masihara au kwamba mtu yeyote hata asiye na masters anaweza kuifundisha? Inaitwa MPH hiyo degree, na tulipomtembelea nyumbani tulimkuta anasahihisha mtihani wa module mojawapo.
 
Acheni watu wasome, hayo ndo maendeleo yenyewe. Nyie mnataka mwe na chuo kimoja kama cha enzi zile??

Acheni hizo, na uhakika mtu aliyefika chuo kikuu hata kama kipo chini ya mwembe ana uelewa mkubwa wa kupambanua mambo kuliko yule wa LY.


hapo sasa,serikali imejitadi sana katika kuanzisha vyuo vikuu,mtu akifika hapo inamaana kuwa ana upewo na utashi wa kutosha juu ya elimu,maswala ya spoon fiding tuwaachie ly,tutafute material kupitia njia mbalambali mbona net zipo.
 
Acha u conservative, Nafkiri wewe ni mmoja kati ya wale watu ,Wanaofikiri mtu aliyemaliza UDSM ndio msomi, waliobaki wote ni FEKI.:becky:
Nimekupa senksi mkuu.....sisi wa Tumaini wanatupotezea kabisa wakati tunaongoza kwa uwezo mkubwa makazini
 
Hivi chuo ni maprofesa tu?
Masters za ungaunga zikoje hizo?
Ni chuo gani duniani ambacho mtu mwenye master hafundishi chuo kikuu?
Elimu ya chuo kikuu inafanana na ya kata kivipi?
Vifaa gani hakuna katika vyuo vikuu?
Main topic ya thread yako ni nini?
Hakuna kitu hapo!

Masters za kuungaunga=za madesa
Unaweza ukwa na master na ukafundisha depending na level/roles utakazokuwa assigned, lakini eventually ni lazima ukachimbe zaidi
Elimu ya chuo kukuu kufanana na kata ni kufungua utitiri wa universities with subpar qualities of education=unatengeneza magraduate butu kama most of Nigerians=scammers, conmen etc.
Vifaaa hakuna Chuo kikuu=wanafunzi mnasikiliza lectures huku mmesimama ama mmekaa chini ya sakafu uliza pale mlimani
Conclusion: Ni bora universities chache but zenye world class quality esp. in terms of academics kuliko kuwa na rundo la vyoo vikuu na wanaograduate ni madudu. Elimu ya nusunusu na ubabaishaji ni HATARI
 
hapo sasa,serikali imejitadi sana katika kuanzisha vyuo vikuu,mtu akifika hapo inamaana kuwa ana upewo na utashi wa kutosha juu ya elimu,maswala ya spoon fiding tuwaachie ly,tutafute material kupitia njia mbalambali mbona net zipo.

Hapo umenena mkuu
Mie pia nashangaa sana, unakuta mtu kasoma kabisa eti anasema hakuna vitabu? eti hakuna walimu wa kutosha teh teh teh. Eti lecturer anafundisha kwa projector badala ya chaki. Duuuu

Watu wakubwa wale, wajitafutie material na kujisomesha wenyewe. Serikali imefanya vizuri sana ktk chuo na tena iongeze kila mkoa at least viwepo vyuo vitatu vyenye fani karibu zote. Material ni kuwasogezea internet.
 
Jaribu kuwa msomaji wewe mwenyewe usipende sana kuona au kutegemea mengi toka kwa watu kama hao kuna njia mbalimbali za kusoma kaka kama internet, books
 
Kwa nini watanzania hawataki kuongelea mambo ya msingi kwa undani. Mfano elimu ya chuo kikuu leo inafanana na ya shule za kata. wakubwa wanatamba majukwani wameanzisha vyuo vikuu vingi kama UDOM. lakini hawaoni matatizo yaliyopo kwenye vyuo hivyo.
Hakuna vifaa,Hakuna Maprofesa,majengo hayatoshi. Watu wenye Masters ndio walimu ambao nao wamesoma kwa kuunga unga tu. vyuo vikuu vya namna hii vitatufikisha wapi.

kaaazi kwelikweli:confused2:

Mtoto kafaulu kwa kubahatisha darasa la saba halafu kaenda shule ya kata kafaulu kwa kukairiri kaenda chuo kikuu UDOM. Hapa kweli tutasema tumezalisha msomi wa kuiomboa nchi hii katika ulimwengu huu wa utandawzi, soko la pamoja nk. Tanzania inaelekea pabaya. lakini viongozi wetu wanafurahia sifa rahisi rahisi. Wanchi nao wamelewa fikra za kipumavu za zidumu fikra za mwenyekiti. Taifa hili linahitaji mwelekeo mpya . we are in wrong boat and wrong direction.

kaaazi kwelikweli:confused2:
 
Kwa nini watanzania hawataki kuongelea mambo ya msingi kwa undani. Mfano elimu ya chuo kikuu leo inafanana na ya shule za kata. wakubwa wanatamba majukwani wameanzisha vyuo vikuu vingi kama UDOM. lakini hawaoni matatizo yaliyopo kwenye vyuo hivyo.
Hakuna vifaa,Hakuna Maprofesa,majengo hayatoshi. Watu wenye Masters ndio walimu ambao nao wamesoma kwa kuunga unga tu. vyuo vikuu vya namna hii vitatufikisha wapi.

Mtoto kafaulu kwa kubahatisha darasa la saba halafu kaenda shule ya kata kafaulu kwa kukairiri kaenda chuo kikuu UDOM. Hapa kweli tutasema tumezalisha msomi wa kuiomboa nchi hii katika ulimwengu huu wa utandawzi, soko la pamoja nk. Tanzania inaelekea pabaya. lakini viongozi wetu wanafurahia sifa rahisi rahisi. Wanchi nao wamelewa fikra za kipumavu za zidumu fikra za mwenyekiti. Taifa hili linahitaji mwelekeo mpya . we are in wrong boat and wrong direction.

wabongo wanajua kukandia vitu
huwezi kufananisha UDOM kwa sasa na kama isingekuwepo, tuwe wakweli jamani tusipindishe kila kitu kwa sababu tu ya hii september na october uchaguzi.
UDOM inafanya vizuri kuliko tulivyotegemea imeajiri watu wengi na inasomesha wanafunzi wengi sana bila hivyo hawa watu wangekuwa wapi?????????
kuhusu walimu huwa kunakuwa na mchanganyiko mwalimu mbaya na mzuri hata kwenye international school huwezi pata walimu wote wazuri watakuwepo wachache wachovu.
 
On a serious note UDOM tunajenga kizazi cha vilaza.
Kuna TETESI Tumaini nako bomu linakaangwa hasa kwa MBA bse nasikia wanafundishwa na wa MBA wenzao
 
Masters za kuungaunga=za madesa
Unaweza ukwa na master na ukafundisha depending na level/roles utakazokuwa assigned, lakini eventually ni lazima ukachimbe zaidi
Elimu ya chuo kukuu kufanana na kata ni kufungua utitiri wa universities with subpar qualities of education=unatengeneza magraduate butu kama most of Nigerians=scammers, conmen etc.
Vifaaa hakuna Chuo kikuu=wanafunzi mnasikiliza lectures huku mmesimama ama mmekaa chini ya sakafu uliza pale mlimani
Conclusion: Ni bora universities chache but zenye world class quality esp. in terms of academics kuliko kuwa na rundo la vyoo vikuu na wanaograduate ni madudu. Elimu ya nusunusu na ubabaishaji ni HATARI
Bado hakuna hoja za maana sana bali mnachoonesha ni kudharau elimu za watu. Kufafanisha na Nigeria sidhani kama kuna data zinazokuonyesha hivyo au ni hisia tu (citation is needed). Hapa watu mnatumia hisia tu kuandika mambo, kwani hamjafanya research ya kuweza kuaminisha umma kama mnavyoamini. Kusema wanaograduate ni madudu, ni kudharirisha watu kwani hauna evidence hata moja. Hapa hamutendi haki hata kidogo hasa kwa kutaka universities chache, Sijui?,inawezekana wewe huoni umuhimu wa hata elimu hio inayotolewa katika vyuo vyetu. Endelea kuchafua watu, hata ivyo watasoma kwa elimu hiohio na watafika weanapotaka. Asante Mkuu.
 
Nashindwa kuchangia kwa kuwa sielewi maana ya elimu ya kuunga unga ndiyo ipi, na pia tatizo la ukosefu wa lecturers vyuo vikuu halijasababishwa na wingi wa vyuo bali maslahi duni wanayolipwa wahadhiri, kiasi kwamba wote wametimkia kwenye siasa ambako kunalipa. Pia tusiwadharau hawa ambao sio phds holders au professors, wengi wao wanafundisha vizuri kuliko hao maprofesa.
 
wabongo wanajua kukandia vitu huwezi kufananisha UDOM kwa sasa na kama isingekuwepo, tuwe wakweli jamani tusipindishe kila kitu kwa sababu tu ya hii september na october uchaguzi. UDOM inafanya vizuri kuliko tulivyotegemea imeajiri watu wengi na inasomesha wanafunzi wengi sana bila hivyo hawa watu wangekuwa wapi?????????kuhusu walimu huwa kunakuwa na mchanganyiko mwalimu mbaya na mzuri hata kwenye international school huwezi pata walimu wote wazuri watakuwepo wachache wachovu.
UDOM ina mapungufu mengi, hata kama mmeajiri watu wengi kumbuka hawana sifa hawa watu. Toka lin Tutorial assistant akapewa darasa afundishe? Polen sana!
 
Kweli kabisa wadau UDOM ni bomu la kufa mtu. Mimi ni Afisa Utumishi Shirika fulani hapa nchini lakini najua kabisa kuwe ukiajiri mwanafunzi kutoka UDOM utakuwa na kazi ya ziada ya kumwelekeza kupita kiasi kulinganisha na vyuo vingine sijui tatizo nini jamani wanatia huruma sana. Yaani hata kumwelekeza ajibu barua ya kiofisi tu lugha atakavyoichakachua utakaa chini usikitike. Mimi naona UDOM kuna tatizo la msingi zaidi tunavyofikiria kwani haiwezekani mtoto graduate awe kila vile kazini. Nakubali mtu huanza kazi kwa shida kwa sababu ya uzoefu lakini unategemea baada ya muda at least abadilike basi lakini kwa hawa UDOM ndugu yangu hakuna kitu. Mimi nikishaona kutoka UDOM basi naanza kujisikia huzuni walivyo vilaza.
 
Back
Top Bottom