Vyuo Vikuu Afrika havitambuliwi

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
Sina hakika lakini hebu tuiangalie hii imekaaje?


Kuorodhesha vyuo vikuu kulingana na umaarufu ni desturi inayokua kwa kasi sana katika sekta ya elimu ya juu.

Orodha hiyo, inayojumuisha vyuo vikuu vilivyo maarufu zaidi duniani, ina walakini kwani bara zima halimo.

Hutapata hata chuo kimoja kutoka bara la Afrika kwenye orodha hiyo.

Vyuo vikuu vilivyoorodheshwa ni vya Marekani, Ulaya na baadhi kutoka China na Korea Kusini huku Afrika ikiwa imesahaulika.

Mazungumzo yanayohusu utandawazi wa vyuo vikuu yanatumia lugha ya kuvutia iliyorembwa kwa mada ya ushirikiano wa kimataifa, pamoja na mzunguko wa fedha katika mitandao ya kimataifa.

Ni rahisi sana kupotoshwa na mafanikio ya vyuo hivi ambavyo mazoea ni kuwatunukia watu tuzo na kujionyesha.

Swali ni, ikiwa ushindani wa kimataifa wa vyuo hivi utajikita katika hadhi na uwezo wa vyuo vichache, na hivyo basi bara zima likasahaulika, mambo yatakuwa vipi?

BBC Swahili - Habari - Vyuo Vikuu Afrika havitambuliwi
 
Sina hakika lakini hebu tuiangalie hii imekaaje?<br />
<br />
<br />
Kuorodhesha vyuo vikuu kulingana na umaarufu ni desturi inayokua kwa kasi sana katika sekta ya elimu ya juu.<br />
<br />
Orodha hiyo, inayojumuisha vyuo vikuu vilivyo maarufu zaidi duniani, ina walakini kwani bara zima halimo.<br />
<br />
Hutapata hata chuo kimoja kutoka bara la Afrika kwenye orodha hiyo.<br />
<br />
Vyuo vikuu vilivyoorodheshwa ni vya Marekani, Ulaya na baadhi kutoka China na Korea Kusini huku Afrika ikiwa imesahaulika.<br />
<br />
Mazungumzo yanayohusu utandawazi wa vyuo vikuu yanatumia lugha ya kuvutia iliyorembwa kwa mada ya ushirikiano wa kimataifa, pamoja na mzunguko wa fedha katika mitandao ya kimataifa.<br />
<br />
Ni rahisi sana kupotoshwa na mafanikio ya vyuo hivi ambavyo mazoea ni kuwatunukia watu tuzo na kujionyesha.<br />
<br />
Swali ni, ikiwa ushindani wa kimataifa wa vyuo hivi utajikita katika hadhi na uwezo wa vyuo vichache, na hivyo basi bara zima likasahaulika, mambo yatakuwa vipi?<br />
<br />
<a href="http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2011/04/110411_afrika_vyuo_vikuu.shtml" target="_blank">BBC Swahili - Habari - Vyuo Vikuu Afrika havitambuliwi</a>
<br />
<br />
Hivi unafaham tafsiri ya umasikini? Nchi zetu ni masikini saana na huo umasikini si wa chakula na makazi bali uhaba na ubora wa elimu. Wenzetu si wanagawa tuzo na kuionyesha bali wanafanya kazi. Jiulizie hao maprofesa wamefanya tafiti ngapi na zipi ni muhimu kwa mazingira yetu? Ratio ya walimu na wanafunzi ikoje? Mazingira ya kujifunzia je? Vipo vyuo bora Africa ila vinapatikana kwenye top 500 km Pretoria cha Africa ya kusini. Wengi tunaamini katika tunayoyaona na siku ukiona mengine utaamini kwamba tupo nyuma sn. Ukipata fursa ya kupitia andiko la mwanafunzi wa chuo kikuu utakimbia. Assignment wanacopy kwenye net na kupaste. Yaani vyuoni kuna watu wanatumia materials ya 1990's. Inasikitisha sn. Uwekezaji wa kwenye elimu unatakiwa uwe endelevu lakini bila political will ni kazi bure!
 
Ni sawa tu. Elimu inayotolewa kwa wenzetu haijafikia hata robo na hii inayotolewa kwetu.
Mazingira mabaya ya kusoma, kucopy na kupaste. Wengine wanasoma huku wana stress kibao za boom, majukumu ya kifamilia + migogoro, walimu hovyo.
Lazima vyuo vyetu viendelee kushika mikia.
 
<br />
<br />
Hivi unafaham tafsiri ya umasikini? Nchi zetu ni masikini saana na huo umasikini si wa chakula na makazi bali uhaba na ubora wa elimu. Wenzetu si wanagawa tuzo na kuionyesha bali wanafanya kazi. Jiulizie hao maprofesa wamefanya tafiti ngapi na zipi ni muhimu kwa mazingira yetu? Ratio ya walimu na wanafunzi ikoje? Mazingira ya kujifunzia je? Vipo vyuo bora Africa ila vinapatikana kwenye top 500 km Pretoria cha Africa ya kusini. Wengi tunaamini katika tunayoyaona na siku ukiona mengine utaamini kwamba tupo nyuma sn. Ukipata fursa ya kupitia andiko la mwanafunzi wa chuo kikuu utakimbia. Assignment wanacopy kwenye net na kupaste. Yaani vyuoni kuna watu wanatumia materials ya 1990's. Inasikitisha sn. Uwekezaji wa kwenye elimu unatakiwa uwe endelevu lakini bila political will ni kazi bure!
well said man
 
eti haijalishi umesoma wapi?nyie ndiye mnaodhani elimu ni kukaa madarasani na kukariri tu kama kasuku
 
........ No Thank you.... your Brilliance is your lead... haijalishi umesoma wapi? una kichwa(akili) saafiii.. au cha mchina? Elimu ya TZ ni Bora.. ila ma garaduate ndo FAKE
<br />
<br />
endelea kujidanganya. Na hiyo elimu unayoita bora, vitabu vimeandikwa na watu gani! Wake up man unaweza kujifanya mjuaji kumbe huo ujuaji hauwezi kucross border. Elimu inachechemea hakuna kitu. Jipange ukajiendeleze kwenye elimu km hujafanya hivyo km hutakuja kuedit comment yako!
 
........ No Thank you.... your Brilliance is your lead... haijalishi umesoma wapi? una kichwa(akili) saafiii.. au cha mchina? Elimu ya TZ ni Bora.. ila ma garaduate ndo FAKE
<br />
<br />
endelea kujidanganya. Na hiyo elimu unayoita bora, vitabu vimeandikwa na watu gani! Wake up man unaweza kujifanya mjuaji kumbe huo ujuaji hauwezi kucross border. Elimu inachechemea hakuna kitu. Jipange ukajiendeleze kwenye elimu km hujafanya hivyo km hutakuja kuedit comment yako!
 
Ni sawa tu. Elimu inayotolewa kwa wenzetu haijafikia hata robo na hii inayotolewa kwetu.
Mazingira mabaya ya kusoma, kucopy na kupaste. Wengine wanasoma huku wana stress kibao za boom, majukumu ya kifamilia + migogoro, walimu hovyo.
Lazima vyuo vyetu viendelee kushika mikia.

naunga mkono a hundred percent!
 
........ No Thank you.... your Brilliance is your lead... haijalishi umesoma wapi? una kichwa(akili) saafiii.. au cha mchina? Elimu ya TZ ni Bora.. ila ma garaduate ndo FAKE

This is like saying: watoto wangu chakula ninachowapikia kina virutubisho vyote vya kujenga mwili tatizo lenu nyie wanangu ni kwamba mna ugonjwa wa kwashakoo
 
This is like saying: watoto wangu chakula ninachowapikia kina virutubisho vyote vya kujenga mwili tatizo lenu nyie wanangu ni kwamba mna ugonjwa wa kwashakoo

UKIMAANISHA NINI KIONGOZI?
kwamba Elimu yetu inakwashakooo?
 
Back
Top Bottom