Vyuo 3 bora vya sheria Tanzania ni vipi?

Vyuo vinatoa degree bora za Sheria au wahitimu bora wa degre za sheria?
1. UDSM - Die hard
2. Mzumbe University
3. Deleted
 
Mkuu hoja yako ungeenda jukwaa la elimu, lakini kwa msaada ni kua mwanafunzi kama mwanafunzi yeye mwenyewe ndo atakua bora na sio amesomea chuo gani, kwa ufupi ni kua hawakufundishi sheria wanakufundisha were and how to find a law, they just facilitate you.haya mambo ya chuo gani ni bora bila kuangalia mwanafunzi anajua nini hachana nayo ni mawazo mgando.

Na hili ni kwa kozi zote sio sheria tu.hata kama ukienda kusoma law hapo HAVARD aliposoma mh Chenge mzee wa vijisenti still unaweza kutoka bado ukiwa mbabaishaji na huelewi, itabaki tu ooh Kichwa cha HAVARD lakini kwenye hoja sufuri, wewe zinduka kasome chuo chochote kama tu point za kukupeleka hukom unazo
 
mkuu hoja yako ungeenda jukwaa la elimu.lakini kwa msaada ni kua mwanafunzi kama mwanafunzi yeye mwenyewe ndo atakua bora na sio amesomea chuo gani.kwa ufupi ni kua hawakufundishi sheria wanakufundisha were and how to find a law.they just facilitate you.haya mambo ya chuo gani ni bora bila kuangalia mwanafunzi anajua nini hachana nayo ni mawazo mgando.na hili ni kwa kozi zote sio sheria tu.hata kama ukienda kusoma law hapo HAVARD aliposoma mh Chenge mzee wa vijisenti still unaweza kutoka bado ukiwa mbabaishaji na huelewi.itabaki tu ooh Kichwa cha HAVARD lakini kwenye hoja sufuri.wewe zinduka kasome chuo chochote kama tu point za kukupeleka hukom unazo

Sahihi kabisa!!! :clap2:
:clap2:
 
mkuu hoja yako ungeenda jukwaa la elimu.lakini kwa msaada ni kua mwanafunzi kama mwanafunzi yeye mwenyewe ndo atakua bora na sio amesomea chuo gani.kwa ufupi ni kua hawakufundishi sheria wanakufundisha were and how to find a law.they just facilitate you.haya mambo ya chuo gani ni bora bila kuangalia mwanafunzi anajua nini hachana nayo ni mawazo mgando.na hili ni kwa kozi zote sio sheria tu.hata kama ukienda kusoma law hapo HAVARD aliposoma mh Chenge mzee wa vijisenti still unaweza kutoka bado ukiwa mbabaishaji na huelewi.itabaki tu ooh Kichwa cha HAVARD lakini kwenye hoja sufuri.wewe zinduka kasome chuo chochote kama tu point za kukupeleka hukom unazo
I concur with you 100%
 
Saint Augustine University of Tanzania kinaongoza, wanafunzi wengi wa sheria wanakimbia kwenda Udom na vyuo vingne!. Kwa mf walograduate mwaka huu ni 310 wakati wanaingia waliku 518! Vipindi vimebana hauna pa kupumulia.
 
Mlimani shamba la bibi, Tumaini inaongoza kwa vilaza! St Augustine imejijengea heshima ya hali ya na nidhamu kubwa. Huwezi sikia migomo ya ovyo ovyo, watu hawana muda.

Nenda utembelee liblary ya sheria, imesheheni vitabu uptodated. Na kwa taarifa ako, inaongoza afrk mashariki na kati. Kwakifupi ni centre 'n source of great thnkers!
 
Mlimani shamba la bibi, Tumaini inaongoza kwa vilaza! St Augustine imejijengea heshima ya hali ya na nidhamu kubwa. Huwezi sikia migomo ya ovyo ovyo, watu hawana muda. Nenda utembelee liblary ya sheria, imesheheni vitabu uptodated. Na kwa taarifa ako, inaongoza afrk mashariki na kati. Kwakifupi ni centre 'n source of great thnkers!
How old are u?
 
mkuu hoja yako ungeenda jukwaa la elimu.lakini kwa msaada ni kua mwanafunzi kama mwanafunzi yeye mwenyewe ndo atakua bora na sio amesomea chuo gani.kwa ufupi ni kua hawakufundishi sheria wanakufundisha were and how to find a law.they just facilitate you.haya mambo ya chuo gani ni bora bila kuangalia mwanafunzi anajua nini hachana nayo ni mawazo mgando.na hili ni kwa kozi zote sio sheria tu.hata kama ukienda kusoma law hapo HAVARD aliposoma mh Chenge mzee wa vijisenti still unaweza kutoka bado ukiwa mbabaishaji na huelewi.itabaki tu ooh Kichwa cha HAVARD lakini kwenye hoja sufuri.wewe zinduka kasome chuo chochote kama tu point za kukupeleka hukom unazo
kWA KUONGEZEA ELIMU YA JUU KAZI YA PROF NI KUKUSYSTEMITIZE JINSI YA KUIELEWA BASIC NA FRAME WORK YA KNOWLEDGE KWA 30% WEWE UNAISEEK 70% KWA DIRECTIVES ALIZOKUPA SASA UNAONA CHUO KINANAFASI NDOGO MNO KUKUCHANGE WW KAMA WW SI MTU MAKINI ,KIPIMO:JIULIZE WANASHERIA WONDERFUL WANAFOMULA YA WANAKOTOKA ?
 
Saint Augustine University of Tanzania kinaongoza, wanafunzi wengi wa sheria wanakimbia kwenda Udom na vyuo vingne!. Kwa mf walograduate mwaka huu ni 310 wakati wanaingia waliku 518! Vipindi vimebana hauna pa kupumulia.

Shit 310??? Alfu wanaenda kuuza mitumba.
 
kWA KUONGEZEA ELIMU YA JUU KAZI YA PROF NI KUKUSYSTEMITIZE JINSI YA KUIELEWA BASIC NA FRAME WORK YA KNOWLEDGE KWA 30% WEWE UNAISEEK 70% KWA DIRECTIVES ALIZOKUPA SASA UNAONA CHUO KINANAFASI NDOGO MNO KUKUCHANGE WW KAMA WW SI MTU MAKINI ,KIPIMO:JIULIZE WANASHERIA WONDERFUL WANAFOMULA YA WANAKOTOKA ?



I agree with you....Lincoln never attended any meaningful formal school (not even a law school) but through self learning he became one of the wonderful lawyers. Being great in Law, among other things depends on your brains, you could attend the finest schools in the world and still be a PIMP!
 
Nna shaka juu ya hawa waliotoa hoja za kugrade hvyo vyuo,kwanza IQ zao,pili Elimu walizonazo,tatu Exposure of the global progres.Sitegemei hata cku moja msomi wa chuo kikuu ambae elimu imemkomboa atoe majibu mepesi kwa swali gumu.Ndg zang mliorank hvyo vyuo kwnza m2eleze mlitumia vigezo vp.

Kwanza zingien course zinazotolewa kila chuo na umuhmu wake ktk soko la ajira ulimwenguni JAMANI MSILEMAZWE NA HISTORIA NDEFU ZA VYUO angalieni nini kinapatikana currently acheni taarab,gonga GPA ya juu alaf uone utakavyopapatikiwa na waajiri, dah!

Haya ndo madhara ya kutosoma LOGIC AND ARGUMENTATION SKILLS.Sor 4 you,go back to school
 
UDSM KINAONGOZA,KINAFUATIWA NA MZUMBE,NA CHA TATU NI ST.AUGUSTINE UNIVERSITY IRINGA. Vigezo ni Idadi ya Wahadhiri na kiwango cha elimu yao,pili Maktaba na Vitabu,na Mwisho ni matokeo yao ya Law School na practice yao kwa mawakili au Serikalini kwa AG.

Ubora wa vyuo ni duniani kote,Hata USA ni Havard na Yale university Vinaongoza wakati uingereza ni Oxford University.Hata South Africa kuna University of CaPETOWN. KWAHIYO UBORA WA VYUO UPO DUNIANI KOTE NI KUJIDANGANYA KWAMBA VYUO VYOTE VINAFANANA. Shule za msingi zinatofautiana itakuwa vyuo?
 
Back
Top Bottom