hizo nyumba ninazo na mimi ni dalali , kama wenye nyumba wakishindwa kuwasiliana na wewe basi nitafute . hiyo bei yako huwezi pata kijitonyama halafu miezi 6. labda mwananyamala. kuna nyumba hapa mk kinondoni iko barabarani ni chumba sebule jiko nk iko ndani ya fence , bei 200,000 na nyingine ipo studio ni standard chumba master na sitting room . jiko luku yake parking mnashirikiana na mpangani mwenzio . bei 350,000
- ziko nyumba za bei unazotaka wewe chumba sebure n.k hizi bei 150,000 ziko homboz kituo cha kanisa . ukizihitaji nyumba hz na zingine nyingi nitafute 0657 145555 Akiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.