TwendeSasa
Senior Member
- May 24, 2008
- 128
- 116
vyumba katika hostel za chuo kikuu cha dsm zimekuwa kama biashara ya chuo kupata hela .. wanatoa faini ambayo haina msingi wowote
Wale wanafunzi wakati wamefukuzwa waliondoka bila kurudisha funguo wanatakiwa kulipia siku zote ambazo walikuwa na ufunguo huo manyumbani kwao
hali hiyo siyo ya kiutu kabisa na niunyanyasaji wa wazi ambao kama DARUSO ingekuwepo ingewatetea wanafunzi kwa hali na mali
Kutokana na kutokuwepo kwa chombo chochote ambacho kinaweza kusikiliza matatizo ya wanafunzi basi wanalazimishwa kulipa na kama hutaki unaambia wafanya unalotaka
Wakati wakufukuza kulikuwepo na harakaharaka sana nje kulikuwa na FFU na wakati huo umepewa mda wa masaa mawili sasa ungewezaje kurudisha funguo na uondoke so walio wahi walirudisha lakini wengi wao hawakuweza
so Uongoz wa chuo ufikirie hili kiubinadamu na uwasaidie hao wanafunz waingie vyumbani mwao maana shule imeshaanza kubana ni wiki ya tisa inaingia
Dhumuni la kuweka hapa hili tatizo ni kuwapa Ujumbe uongoz wa Chuo kwasababu hamna njia ingine ambayo ipo rahisi kuwafikia
Wale wanafunzi wakati wamefukuzwa waliondoka bila kurudisha funguo wanatakiwa kulipia siku zote ambazo walikuwa na ufunguo huo manyumbani kwao
hali hiyo siyo ya kiutu kabisa na niunyanyasaji wa wazi ambao kama DARUSO ingekuwepo ingewatetea wanafunzi kwa hali na mali
Kutokana na kutokuwepo kwa chombo chochote ambacho kinaweza kusikiliza matatizo ya wanafunzi basi wanalazimishwa kulipa na kama hutaki unaambia wafanya unalotaka
Wakati wakufukuza kulikuwepo na harakaharaka sana nje kulikuwa na FFU na wakati huo umepewa mda wa masaa mawili sasa ungewezaje kurudisha funguo na uondoke so walio wahi walirudisha lakini wengi wao hawakuweza
so Uongoz wa chuo ufikirie hili kiubinadamu na uwasaidie hao wanafunz waingie vyumbani mwao maana shule imeshaanza kubana ni wiki ya tisa inaingia
Dhumuni la kuweka hapa hili tatizo ni kuwapa Ujumbe uongoz wa Chuo kwasababu hamna njia ingine ambayo ipo rahisi kuwafikia