Vyumba chuo kikuu ni Wizi Mtupu

TwendeSasa

Senior Member
May 24, 2008
128
116
vyumba katika hostel za chuo kikuu cha dsm zimekuwa kama biashara ya chuo kupata hela .. wanatoa faini ambayo haina msingi wowote

Wale wanafunzi wakati wamefukuzwa waliondoka bila kurudisha funguo wanatakiwa kulipia siku zote ambazo walikuwa na ufunguo huo manyumbani kwao

hali hiyo siyo ya kiutu kabisa na niunyanyasaji wa wazi ambao kama DARUSO ingekuwepo ingewatetea wanafunzi kwa hali na mali

Kutokana na kutokuwepo kwa chombo chochote ambacho kinaweza kusikiliza matatizo ya wanafunzi basi wanalazimishwa kulipa na kama hutaki unaambia wafanya unalotaka

Wakati wakufukuza kulikuwepo na harakaharaka sana nje kulikuwa na FFU na wakati huo umepewa mda wa masaa mawili sasa ungewezaje kurudisha funguo na uondoke so walio wahi walirudisha lakini wengi wao hawakuweza

so Uongoz wa chuo ufikirie hili kiubinadamu na uwasaidie hao wanafunz waingie vyumbani mwao maana shule imeshaanza kubana ni wiki ya tisa inaingia

Dhumuni la kuweka hapa hili tatizo ni kuwapa Ujumbe uongoz wa Chuo kwasababu hamna njia ingine ambayo ipo rahisi kuwafikia
 
vyumba katika hostel za chuo kikuu cha dsm zimekuwa kama biashara ya chuo kupata hela .. wanatoa faini ambayo haina msingi wowote

Wale wanafunzi wakati wamefukuzwa waliondoka bila kurudisha funguo wanatakiwa kulipia siku zote ambazo walikuwa na ufunguo huo manyumbani kwao

hali hiyo siyo ya kiutu kabisa na niunyanyasaji wa wazi ambao kama DARUSO ingekuwepo ingewatetea wanafunzi kwa hali na mali

Kutokana na kutokuwepo kwa chombo chochote ambacho kinaweza kusikiliza matatizo ya wanafunzi basi wanalazimishwa kulipa na kama hutaki unaambia wafanya unalotaka

Wakati wakufukuza kulikuwepo na harakaharaka sana nje kulikuwa na FFU na wakati huo umepewa mda wa masaa mawili sasa ungewezaje kurudisha funguo na uondoke so walio wahi walirudisha lakini wengi wao hawakuweza

so Uongoz wa chuo ufikirie hili kiubinadamu na uwasaidie hao wanafunz waingie vyumbani mwao maana shule imeshaanza kubana ni wiki ya tisa inaingia

Dhumuni la kuweka hapa hili tatizo ni kuwapa Ujumbe uongoz wa Chuo kwasababu hamna njia ingine ambayo ipo rahisi kuwafikia

Mkataba kati ya Mwanafunzi na USAB(I think it still exist) uko vipi?

Hapo ndipo pa Kuanzia kabla ya kulalamika kwanza
 
vumilieni yatapita!!!!!zusy mbunge viti maalum CHADEMA enzi zetu alifanya sana ufusadi katika masuala ya vyumba vya chuo na baadae USAB
 
Kama utaratibu upo basi ufuatwe.Nadhani kuna tatizo la kifikra..maadili na nidhamu kupungua kutokana na utandawazi.
 
vyumba katika hostel za chuo kikuu cha dsm zimekuwa kama biashara ya chuo kupata hela .. wanatoa faini ambayo haina msingi wowote

Wale wanafunzi wakati wamefukuzwa waliondoka bila kurudisha funguo wanatakiwa kulipia siku zote ambazo walikuwa na ufunguo huo manyumbani kwao

hali hiyo siyo ya kiutu kabisa na niunyanyasaji wa wazi ambao kama DARUSO ingekuwepo ingewatetea wanafunzi kwa hali na mali

Kutokana na kutokuwepo kwa chombo chochote ambacho kinaweza kusikiliza matatizo ya wanafunzi basi wanalazimishwa kulipa na kama hutaki unaambia wafanya unalotaka

Wakati wakufukuza kulikuwepo na harakaharaka sana nje kulikuwa na FFU na wakati huo umepewa mda wa masaa mawili sasa ungewezaje kurudisha funguo na uondoke so walio wahi walirudisha lakini wengi wao hawakuweza


so Uongoz wa chuo ufikirie hili kiubinadamu na uwasaidie hao wanafunz waingie vyumbani mwao maana shule imeshaanza kubana ni wiki ya tisa inaingia

Dhumuni la kuweka hapa hili tatizo ni kuwapa Ujumbe uongoz wa Chuo kwasababu hamna njia ingine ambayo ipo rahisi kuwafikia


we nawe unaboa sasa.... kwani chuo kina wanafunzi wangapi?? inamaana hao wengine waorudisha funguo walipigwa na FFU au hawakuwaona hap FFU pale order ya kuondoka vyumbani ilipotolewa?? Ulishinidwa nini kurudi kesho yake au keshokutwa yake ukakabidhi funguo ya watu?? Uliondoka nayo ili iweje?? ulitegemea chuo walipotaka kukagua vyumba vyao wangefunguaje?? na kwa data nilizonazo mimi ni kwamba chuo iliwalazimu kubomoa milango yote ambayo wanafunzi waliondoka na funguo, na waliporudi kutaka kurejea vyumbani mwao walilazimika kulipia gharama ya kitasa ambacho ilibadilishwa si pesa ya siku zote ambazo umeondoka na key,, mambo mengine ni uchochezi usio na msingi.
 
Hivi ni wapi huku duniani unaendelea kushikilia nyumba alafu usilipe... wao ni wasomi walitakiwa kuelewa hilo... tutetee wazee sio watu werevu wanaoamua kufanya madudu wenyewe.
 
we nawe unaboa sasa.... kwani chuo kina wanafunzi wangapi?? inamaana hao wengine waorudisha funguo walipigwa na FFU au hawakuwaona hap FFU pale order ya kuondoka vyumbani ilipotolewa?? Ulishinidwa nini kurudi kesho yake au keshokutwa yake ukakabidhi funguo ya watu?? Uliondoka nayo ili iweje?? ulitegemea chuo walipotaka kukagua vyumba vyao wangefunguaje?? na kwa data nilizonazo mimi ni kwamba chuo iliwalazimu kubomoa milango yote ambayo wanafunzi waliondoka na funguo, na waliporudi kutaka kurejea vyumbani mwao walilazimika kulipia gharama ya kitasa ambacho ilibadilishwa si pesa ya siku zote ambazo umeondoka na key,, mambo mengine ni uchochezi usio na msingi.

poor estate management, you can't give students all copies of their rooms keys. According to USAB rules, rooms are co-own by USAB and student, that means warden can access students room at any time as necessary, students know this clearly.

Warden anazocopy za funguo za vyumba vyote, don't kid me.
 
poor estate management, you can't give students all copies of their rooms keys. According to USAB rules, rooms are co-own by USAB and student, that means warden can access students room at any time as necessary, students know this clearly.

Warden anazocopy za funguo za vyumba vyote, don't kid me.[/QUOTE]

Tusiongopeana hapa, unless otherwise hujapitia mlimani......
 
Tusiongopeana hapa, unless otherwise hujapitia mlimani......

nimeishi mlimani, nimeishi mabibo hostel, ninajua kuhusu vyumba vya hapo chuoni. Tena vyumba nilivyopitia funguo ninazo mpaka leo. Tulikuwa tunachongesha funguo pale Sinza Makaburini baada ya USAB kutupatia copy moja wakati room tupo 2 au zaidi. Masuala ya kubebana unayajua wewe?
 
nafikiri si vema kwa mwanafunzi kuondoka na funguo za chumba hata kama amekurupushwa kuondoka. Akae miezi mitatu au minne aje adai kuwa hakuna cha faini wakati hakurudisha funguo kama mkataba unavyosema. Hao wasomi wetu hapo mlimani sijui vipi wanataka kubembelezwa bembelezwa kwa mambo ambayo hayapo kabisa.
Unajua mimi naishi hosteli hapa ughaibuni, kwanza ni kweli kuwa estates wanazo funguo za ziada lakini pia nimelipa desposit. Ufunguo ukipotea natakiwa kulipia Euros 30 haijalishi mara ngapi utapoteza. Ukitakakubadilisha room ni Euros 70 na ni mpaka kipatikane! Na kama sijarudisha funguo nikaondoka, kumeharibika kitu nimeacha Euros 150 deposit na watailamba. Hii ndio biashara inavyooenda. Sasa hao wanaolalamika kwa kwenda na funguo makwao kwa muda huo sioni cha kuwatetea. Kama ingekuwa biashara ya hao ndugu wangekubali? Pengine kuna watu walikuwa wanavitaka hivyo vyumba wakati ambao wanafunzi hawapo wanaingia gharama ya kwenda kupekua huku na kule bila sababu. Faini ni muhimu na hakuna wizi hapo.
 
Back
Top Bottom