Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Eti kweli udsm imeshindwa kulitatua tatizo la vyoo? ukiingia baadhi ya vyoo utakuta hali ya ajabu. utakuta maji mpaka nyayoni yametnda huku yakiwa na uchafu mkubwa. kwa mfano kile choo cha idara ya maths , kinatia aibu