mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
Wanangu uswazini vyoo noma nilifika uswazi kupata kinywaji tumbo lilishtuka ghafla nikaenda kuomba hifadhi nilipo iona nyumba ina bendera ya ccm na picha ya jk nikaona hapa nitasaidiwa nyumba imeshahabiana haswa na uswazi kwenyewe maana mlingoti wa bendera umeielemea nyumba karibu idondoke pambo lililo zuri pale ni picha ya mh inayo toa tabasamu elekezi Nilisikia zogo la walevi na harufu ya pombe Nikaona hayanihusu Baada ya kueleza kilicho nileta nikaelekezwa msalani Nilikaribishwa na mlango wa pazia La junia lenye viraka na harufu kali itokayo chooni Kuingia tu nikastushwa na choo ambacho unaona mpaka haja za leo leo kwa ujumla za nyakati zote Pembeni penye sakafu iliyo toboka toboka nikaona kimba kubwa fupi juu limechongoka kama koni Kushoto nikaona lingine limelala lina rangi ya papai na kondom zilizo tumika na mifuko ya ice cream Kulia yake ndio mzigo wa uhakika ni wa kijani mwanzoni na mix ya damu na kamasi kamasi plus gololi gololi Ukuta wa choo umeandikwa kwa mavi majina ya meli kama kishitobe falaline Na maandishi mengine yanasema iko siku tutashinda mwana Yule dingi zobaù£ääø Kona za mlangoni zimekuwa nyeusi kwa kukokona na vipande vya mawe na vipisi vya majunia na viroba na chupa za maji za uha nikashangaa bado najiuliza naona babu anaingia bila hodi ananiuliza unashangaa shangaa ninií£öýé kabla sijajibu mwenzangu esha vua kaptura yake yenye mkanda wa kamba ya mkonge kaanza kujikamua Sikuwa Na haja tena ya kujisaidia nikachimba huku mwili mzima unanuka HII NI TZ ILIYOCHOKA KWA KUCHOSHWA!