Vyombo vya usalama vya wananchi wa Misri vimesema haviwezi kuzuia wananch wake kufanya maandamano na vimetukuwa vikilinda amani. Vyombo vya Ulinzi vya Tanzania vi kwa ajiliy ya wananchi au kwa serikali iliyopo Madarakani kama enzi za mkoloni??
Vyombo vya usalama vya Tanzania ni kwa ajili ya mafisudi, ndio maana utaona kuteteana kunaanzia , kwa Shombo, inakuja kwa Woroma, halafu Mwema kwa kidogo nae kapotoka kwa tukio la halusha/arusha, halafu atakuja kikawe, nkVyombo vya usalama vya wananchi wa Misri vimesema haviwezi kuzuia wananch wake kufanya maandamano na vimetukuwa vikilinda amani. Vyombo vya Ulinzi vya Tanzania vi kwa ajiliy ya wananchi au kwa serikali iliyopo Madarakani kama enzi za mkoloni??