Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Polisi yawashikilia viongozi wa UamshoMWENYE MACHO HAAMBIWI TIZAMA
kwanini jeshi la polisi lilikataa kuwa hawahusiki na utekaji wa sheikh faridi wakati waliomteka walijitambulisha ni askar na kumuonesha vitambulisho kabisa suala langu je hapa inamaana kuna vitambulisho feki vya askari na kuna raia wasiokuwa askar ambao wanamiliki silaha za kivita hapa nchini?
kwanini tume ya utangazaji zanzibar ilizuia kabisa taarifa zozote zinazohusiana na uamsho zisitolewe wakati tume ilipotowa tamko hilo ndio siku ambayo alimuachia sheikh faridi hapa je tume walitaka wananchi wanaoishi maeneo ya mbali wasijue kuwa kaachiwa au vipi?
Ni kwanini wamuulize sheikh faridi kuwa anauhisiano gani na sheni na Maalim seif kuhusu suala la kuikomboa zanzibar na kwanini wasimuulize kuhusu baloz seif .....?!
kwa kawaida kila simu inayopigwa au kupigiwa kila mtu kwa sasa kampuni husika inazirikodi ili kuboresha huduma ya mawasiliano lakini cha ajabu masheikh walipokwenda zantel kuuliza kuhusu kupigiwa sim sheikh faridi walitoa rekodi kuwa simu yake imefanya mawasiliano ya mwisho saa kumi na mbili jioni tena na mke wake wakati watu waliomteka amesema sheikh faridi kuwa waliwasiliana hadi saa mbili usiku hapa niwaulize zantel je hawakuweka rekodi yake yakupigiwa sim.